Mpenzi wangu kaniwekea KIBAMIA ya Rostam.

Mpenzi wangu kaniwekea KIBAMIA ya Rostam.

mchumihalisi

Member
Joined
Oct 8, 2015
Posts
28
Reaction score
98
Hizi dedication zingine ni ngumu sana kuzielewa kwa haraka, Nimerudi usiku home nimemkuta shemeji enu anajiandaa kulala basi huku na huku akaamua kuweka wimbo wa Kibamia wa Rostam, kilichontisha zaidi ni yeye kuvutiwa na Chorus na kuiimba kabisa 'Sitaki Kibamia, Mwanaume mashinee' kiukweli imeninyima usingizi na kutafakari siku nzima. Hivi hii inamaanisha nini wakubwa?
 
Naona wote wamekaa upande wa huyo kimeo chako....

Yeye anamaanisha kuwa yeye keshakuwa BAKULI.......jitahidi utafute saizi yako.

Lengo langu ni kukufariji........maana either way inamaanisha maumivu kumoyo
 
Naona wote wamekaa upande wa huyo kimeo chako....

Yeye anamaanisha kuwa yeye keshakuwa BAKULI.......jitahidi utafute saizi yako.

Lengo langu ni kukufariji........maana either way inamaanisha maumivu kumoyo
Na kweli umemfariji mkuu, aide!!!
 
Kuna mtu mwenye muhogo anapika na kupakua kwa mkeo
 
Ungemchapa vibao tatizo mmezidisha mapenzi ya teremundo,
 
Uke ni sehemu inayoweza kutanuka mpaka kufikia zaidi ya cm 12. Uke ni sehemu atokeapo mtoto mpaka wa uzito wa zaidi ya kg 4 upana wa cm 25 mpaka 30
Na urefu usipungua cm zaidi ya 60
Sasa utaupata uume wapi wa upana wa cm 12 urefu wa angalau cm 60 ili ujae kisawasawa kwenye hiyo kitu yako??
Maana kila siku oooh vibamia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom