Mpenzi wangu kanisingizia nimemuibia

Ulimpatia kwa wale wadada Wa sinza nini.hawa wanawake Wa mjini ukiwachekea kidogo utarudi kijijini kwenu unalia
 
Ungeanza kuandika hivi,
Aliyekua mpezi wangu .......
maana huyo hafai tena kuwa mpenzi
au umeiba kweli jamaa
 
ha haha wewe kwa nini ukamdai ? ha ha ha amefanya janja yake kapata hela .. sasa muache tu
 

Hahaha umeshaibiwa wewe
Una huakika huyo ni mpenzi wako
 
Huyo ni mwizi! Hata akijirudisharudisha baada ya roho kumsuta muweke kama spea tu ya kumalizia ukame ila si wa kutegemea
 
Alikuwa anakutafutia visa... ulipompa hiyo pesa kakosa sababu. Roho inamsuta jaribio lake limeshindwa..
 
yaan kuna watu wakisema ni wanaume unaanza kuutafuta uko wapi huo uanaume.
kwanza anakupigia simu umeniiibia na ww hujaiba unaenda unamlipa?
mie angejifunza kusoma nakuambia
na angejua nane ni sifuri zilizoungana ama ni tatu zilizogeukiana
Unadhani kati ya huyu jamaa na huyo dada nani mjinga? I'd have done the same, 80K kitu gani bwana. Hakuna kitu kibaya kama mtu mnayeaminiana kukuzushia uongo.

Tena ingekuwa mimi namwachia hiyo 100K kabisa, ataitumia miaka mingapi? Then that'd be it...
 
Mtoa mada you're right IMO, tena umemuaibisha huyo mpuuzi. Watu wajinga na waroho wa pesa hiyo ndio dawa yao, you won't lose sh!t

Ila muache, achana nae hakufai huyo.
 
Kila siku tunashauri dada zetu wawe wajasiriamali...she is just trying to be one!
 
Mimi nisingempa,kabisa maana najua kabisa sijaiba na ulivo mtumia sms hajakujibu huensa roho inamsuta kwa alicho kifanya
 
Umefanya kosa kubwa kumpa hiyo 80,000. Pole kwa kutapeliwa. Baadhi ya wanaume tabia zao zinasikitisha sana.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…