Mpenzi wangu kaniomba msamaha

kaa! bora wewe uliachwa juzi mwenzio nina mwaka na miez 3 lakini bado nampenda sana nangojea nikijaliwa nikaombe radhi mimi na hata kama sisi wana ume ni mabwege lakini kupenda hakuna mwenyewe. mshukuru MUNGU kaka yangu kwa kurudiana hakuna kitu kibaya na kinachoumiza hapa duniani kama kuachana na mtu unaempenda na umezoeana nae.
 

Umefurahi kwa kujua chanzo na kurekebisha au umefurahi kurudia kifo???
 
Mimi ukishasema umeniacha basi sahau hutakuwa na mie tena na tena.
 

Si uende tu sasa hivi ukamuombe radhi. We unafikiri yeye ana wazo kama utakuja kumuomba msamaha? Usijeshangaa siku unaona picha za harusi yake. Kama unampenda mfate tu now, before its too late
 
سثفتبشضنتقص
 
du, kweli mahaba nipoteze, kama ndege ya malaysia, aya soma km ya papuchi kama itakuwa vilevile ulivyoiacha.
 
Si uende tu sasa hivi ukamuombe radhi. We unafikiri yeye ana wazo kama utakuja kumuomba msamaha? Usijeshangaa siku unaona picha za harusi yake. Kama unampenda mfate tu now, before its too late

Haha km mtu hakutaki hata ukifata ni kazi bure..nakumbuka nilifunga safari kwenda kurekebisha penzi alakn nikaambulia kufungiwa milango..nikahisi tamthilia kumbe kweli..mapenzi nux..
 
Si uende tu sasa hivi ukamuombe radhi. We unafikiri yeye ana wazo kama utakuja kumuomba msamaha? Usijeshangaa siku unaona picha za harusi yake. Kama unampenda mfate tu now, before its too late

ujue kila kitu kinachofanyika chini ya jua kinaratibiwa na MUNGU ndio maana nikasema nikijaliwa,maana najijinga kisaikoloji ni namnagani nitaishi nae wakati alisha nichoma moyo lakin bado nampenda.
 
Kupenda si upumbavu, hata wengine wanatamani, hongera mwaya na mahaba NIUE... Mpendane Kama ulimi na mate.......


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 
Nimeona thread zako kama ya pili hii leo halaf mwendelezo wako n.mapenz tu kwan.lazima akikuacha angalia mbele maisha lazima yasonge

umri umri umri, dogo aliachwa sasa ameombwa msamaha bana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…