- Thread starter
- #21
yesNikuulize ulishauriana naye wakati unaitafuta hiyo nyumba?
yesNikuulize ulishauriana naye wakati unaitafuta hiyo nyumba?
Sasa iweje akatae kuhamia. Sio bure mna shida sehemu we na huyo mkeo.
Uzi unasema mpz kakataa kuishi nae, je ni sahihi kuishi na mpz bila ndoa? Je utaweza kum handle??Kuna tofauti gani yaani MPENZI ni wa UZINZI na Mke je ?
hana sababu yoyote ileSasa iweje akatae kuhamia. Sio bure mna shida sehemu we na huyo mkeo.
hahah kwani lazima muoane ndio mkae pamoja.....siku izi mnachukuana tu mnaishi wote ilimradi taarifa ziwepo kwa wazazi kwamba anaishi na fulani sehemu fulani...tchaoUnataka kukaa nae wakati hamna ndoa? Huo ni uzinzi bora amekataa