Hatare. Mie kuna siku nimepiga mechi wakati natupa chini cover inaingia kwenye begi niliandaa maana nilikuwa nasafiri alfajiri kurudi home. Nilikaa siku mbili sijui, siku nataka kuchukua chaja kwenye begi nikakutana nayo. Nilihisi ganzi mwili mzima. Nikashukuru hakuiona, nimeapa sirudii tena maana Mungu amenipa onyo maana angeikuta yeye sijui ingekuaje.
BUMIJA
Wanaume Wengine Bhana! Wewe Umefumwa Tu Na Condom Unatokwa Na Mapovu Hivi Je Na Sisi Wenzako Tunaofumaniwa Kila Kukicha Na Wake Zetu Tusemeje?