makolola
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 765
- 290
Huyu binti nimekuwa nikimundaa vizuri tu wakati wa tendo mpaka anapizi kabla hata sijaanza kazi, cha kuashangaza kila mimi nikifika yeye anakuwa bado anahitaji tu juzi nimepiga kama goli nne gesti kwa kama masaa sita lakini yeye bado anataka tu namwambia hapana anaanza kulia na anataka.
Ikafikia mahali nikaishiwa nguvu mpaka naenda uwani miguu haina nguvu napepesuka kurudi namkuta kajibinua miguu imegusa ukuta anataka niendelee, kwa kweli nimeingia kwa tabu tabu nadhani nilipizi upepo na ikabidi nilazimishe tuondoke ingawa alikuwa bado anataka nipumzike kidogo alafu tuendelee tena.
Kwa kweli huyu ni mwanamke wa kwanza nakutana nae ambaye ni king'ang'anizi wa kusuguliwa nifanyeje ili niweze kumudu maana mashine yake inavuta fresh na yuko bomba, ila huwa najifikiria mara mbili mbili kabla ya kukutana nae walau niwe nimekula nyama au supu ila bado anatoka mwenye kuhitaji.
Nimfanyeje ili niweze kummudu?
Ikafikia mahali nikaishiwa nguvu mpaka naenda uwani miguu haina nguvu napepesuka kurudi namkuta kajibinua miguu imegusa ukuta anataka niendelee, kwa kweli nimeingia kwa tabu tabu nadhani nilipizi upepo na ikabidi nilazimishe tuondoke ingawa alikuwa bado anataka nipumzike kidogo alafu tuendelee tena.
Kwa kweli huyu ni mwanamke wa kwanza nakutana nae ambaye ni king'ang'anizi wa kusuguliwa nifanyeje ili niweze kumudu maana mashine yake inavuta fresh na yuko bomba, ila huwa najifikiria mara mbili mbili kabla ya kukutana nae walau niwe nimekula nyama au supu ila bado anatoka mwenye kuhitaji.
Nimfanyeje ili niweze kummudu?