Mpenzi wangu hajui kucheza Music

Mpenzi wangu hajui kucheza Music

Weka mziki alafu wewe jifanye umetoka. Mchungulie utayaona mauno yake.
 
Je una miaka mingapi? Na, je unatarajia lini kufunga harusi?
 
Wakuu,

Me kiukweli ni mpenzi wa Music sana. Sasa nimegundua mpenzi wangu hajui kuyarudi maana kila akija gheto nikimwekea Music yeye ndo kwanza analala zake.

Nifanyaje nimfanye nae aweze kuyarudi mandombolo ya solo?

Nenda naye taratibu.... mfundishe. Dah umenikumbusha somo nlilopewa na babu yangu Dark City aka Babu DC
 
Last edited by a moderator:
siku ya harusi yetu kwenye kile kipengele cha bwana na bibi harus watufungulie music itakuaje unadhan mkuu?si ataniaibisha mkuu?

Kwani itakuwa breakdance kama wacheza shoo au slow dancing,?
 
Daaah!Hadi kujua kucheza kwasakwasa ni moja kati ya catalyst ya mapenzi ya siku hizi?
Dot.com mna taabu sana nyie
 
Mmmhhmmm this generation uwiiii.... kazi kweli kweli ... If you love her just teach her what's so hard .. by the way not all of us have the same interests or hobbies .. you are so lucky to have a woman like her ... There are some people I know are wish and want to have a woman like yours , so they can cut down expenses za kwenda club .. Thanks..
 
Mkuu siukaopoee mmoja malaika band ama twanga pepeta
 
Wakuu,

Me kiukweli ni mpenzi wa Music sana. Sasa nimegundua mpenzi wangu hajui kuyarudi maana kila akija gheto nikimwekea Music yeye ndo kwanza analala zake.

Nifanyaje nimfanye nae aweze kuyarudi mandombolo ya solo?

Mfundishe,acha kupiga kelele
 
Back
Top Bottom