Mpenzi wangu hajui kucheza Music

Mpenzi wangu hajui kucheza Music

siku ya harusi yetu kwenye kile kipengele cha bwana na bibi harus watufungulie music itakuaje unadhan mkuu?si ataniaibisha mkuu?

ASA si umuache utafte anayejua kudensi...

Mbn wengi tu hawajui kucheza lkn harusi zinafungwa?

Utajisikiaje akikwambia hujui kumfanyia a and b?

Wa kwanza kubadilika Ni ww mfundishe trtb hayo ndo mapenzi...me nakumbuka nilikua na aibu sn ya kumuangalia machoni mwenzangu lkn alinifundisha trtb nikazoea! Wengine aibu huchangia
 
Kwan wew unataka ajue kucheza mziki au ajue kulisakata lumba kwenye 6 kwa 6
 
Maneno ya kitoto, mtoto kumwambia mtoto mwenzie tunasema watoto wanacheza.

lakini

Maneno ya kitoto mtu mzima kumwambia mtu mzima mwenzie tunasema huo ni.......................................................

u f a l a......by Apologise lady............:msela:
 
Last edited by a moderator:
Mpeleke Twanga pepeta afanye ma practical ya wiki mbili.
 
tang'ana

Kama ajui mfundishe ukawafaidishe na wenzio
 
Last edited by a moderator:
Shangaa na wewe ndg yangu, kazi ipo nakwambia!!!
Mwenyewe anadai atataka wacheze show siku ya harusi yao

Hahaha na hapo bado, utaambiwa unajua kucheza tu kwaito Ila sebene hujui.
Mwaego Mpe huo wimbo wa show na styles zenu mlizozichagua then mkabidhi THT hadi siku ya harusi atakuwa ameshafuzu dancing
 
kwanini hukutongoza mastage show ??
 
siku ya harusi yetu kwenye kile kipengele cha bwana na bibi harus watufungulie music itakuaje unadhan mkuu?si ataniaibisha mkuu?

Kwani maharusi wanapofungua mziki huwa wanakata mauno? Pale huchezwa mziki wa taratibu (blues) hichi kipengele hakuna anaye kishindwa.

Hata iwe ni wakati wa kuingia hawezi shindwa ndo maana hata harusi nyingi huweka watoto mbele. Kuchezesha miguu, mikono, kutikisa mwili, kucheka na kuangalia chini kwa aibu bibi harusi hashindwi.

Ila kama unataka kwenye harusi yako acheze kama striper basi kazana kutafuta anayejua
 
tatizo dogo sana mkuu.....mfundishe hadi siku ya harusi atakuwa anaelewa ukizingatia nyimbo za harusi ni taratibu hatashindwa kusogeza mguu kushota mara kulia huku kakushika bega:msela:
 
tang'ana

mfundishe pole pole anza na hii nyimbo ya PACHA WANGU by rich mavoko. Unachezeka vizuri atazoea tu
 
Last edited by a moderator:
Hiyo mbaya sana BUT "If he cant dance then seems like he can dance on you" No body is perfect yupo ambaye anaweza kucheza but hawezi kumchezesha mpenziwe.! On bed
 
Back
Top Bottom