Vipi kwa wale madada ambao wana kazi tena za maana lakini bado wanaomba hela za matumizi???
Jamani wakuu ninacho kisema nikweli kabisa. Mpenzi wangu hajwahi kuniomba hela tokea nimeanza uhusiano nae nina miezi sita.
Nilishawahi kumuuliza kwanini hua huniombi hela,akanijibu hajazoea kuomba hela. sasa mtu kama huyu unamuweka kwenye kundi lipi.[/QUOTE
Unaonekana ulishazoea kuibiwa that y unamshangaaa, umemtoa wapi
Na omba mungu asipate mashoga wajanja utakoma
ha ha hahaha unataka kuombwa kuna warembo wanabahati yani mpenziwe anataka amuombe hela.. miss mie ningekuja na kautaratibu kabisa kila siku unajua unatakiwa kutoa shilingi ngapi
Rahisi tu, unamuweka "kundi la wasio omba hela kwa ambao hawana hela."
ndiyo hivyo mkuu.. yani duh warembo wenye bahat zaoAhahahaha Miss Bwana, Mi Huwa Unachekeshaga Sana Ujue, Sijui Unachokiandika Hum Ndio Uhalisia Wa Maisha Yako Au Ni Usumbufu Tu, Mdomoni.
Mkuu usisubiri akuombe,sio wadada wote wanatabia ya kuomba,na kutokuomba kwake si kwamba wakati wote yuko na pesa no vile km alivokueleza hana tabia ya kuomba,usichukulie hiyo tabia yake kutokumpa pia, si pesa tu hata vingine avipendavyo.
Jiwekeee tu mpango uwe unampa kila upatapo nafasi,haitomaanisha kuwa unamhonga but it is worthy as you are a responsible man.
Amini nakueleza hakuna raha ktk mapenzi km kumjali mpenzi wako kwa zawadi mbalimbali na kuyaotea mahitaji yake.
MPE pesa,mpe zawadi usisubiri akuombe,tupo tusioomba tunaitwa independent ladies,ingawa tungependa kupewa pia.
Asante.....
ndiyo hivyo mkuu.. yani duh warembo wenye bahat zao
Nimecheka sana, maana kuna Dada mmoja huko mbezi dar alikuwa akifanya hivyo kwa bf wake.
Ni binti mmoja maji ya kunde , mnene kiasi, umbo 8, kifua kimechongoka, nyuma kajaliwa, ni urefu wake ni wa wastani
Bf wake alimpa mimba kisha wakaitoa, baada ya muda bf akamwambia anamtoto kwa hiyo anaomba amsamehe ili waoane wamlee mtoto na wengine watakaojaliwa.
Binti ilimwia ngumu lkn alikubali alipokuwa akiomba ushauri alusema "yaan hata shilingi sijawahi kumwomba hata ya vocha"
Lkn huyu binti mtaan ilikua kero alikuwa anaonbaomba tu, na kwa tabia hiyo walikuwa wanampichu mno.