Nimecheka sana, maana kuna Dada mmoja huko mbezi dar alikuwa akifanya hivyo kwa bf wake.
Ni binti mmoja maji ya kunde , mnene kiasi, umbo 8, kifua kimechongoka, nyuma kajaliwa, ni urefu wake ni wa wastani
Bf wake alimpa mimba kisha wakaitoa, baada ya muda bf akamwambia anamtoto kwa hiyo anaomba amsamehe ili waoane wamlee mtoto na wengine watakaojaliwa.
Binti ilimwia ngumu lkn alikubali alipokuwa akiomba ushauri alusema "yaan hata shilingi sijawahi kumwomba hata ya vocha"
Lkn huyu binti mtaan ilikua kero alikuwa anaonbaomba tu, na kwa tabia hiyo walikuwa wanampichu mno.