Mpenzi wangu hafiki kileleni

huyo jamaa nae kama alibahatisha tu kwani walikaa kwenye mahusiano mwaka mmojacha na alifanikiwa hiyo mara moja ,na ndiyo sababu ya kumwagana
cha muhimu kama ushajua jitahidi umtafute jamaa umpelekee manzi yako amgegede ukiwa pembeni ili uone mautundu anayotumia, mbinu hiyo itakusaidia sana

NB:kumradhi
 
Jitahidi mzee baba afikie maana siku akikutana na anaemfikisha kazi unayo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kwanza nikuulize mumeshapata mtoto na vipi menstrual cycle yake ipo sawa kabisa? Inawezekana huyo bint ana psychological problem labda alibwaka hivyo kupelekea kuchukia hilo tendo au hana feelings na wewe au inaweza akawa na hormonal imbalance au pengine bado hamjajua hasa feelings zake ziko wapi. Mkuu wakati wa kumuandaa unashughulika vizuri na clit pamoja na G-spot?
 
Anafaa apigwe mtungo na wanaume kama watano hivi. Ilishindikana hapo basi atakuwa sugu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kuzama chumvini
 
Muulize anataka kiasi gani.inawezekana salio unalomuachiaga halitoshi hata kifurushi cha chuo
 

Swala la mwanamke kufika kileleni kwa sehemu kubwa linachangiwa na mwanamke mwenyewe na kwa sehemu ndogo sana ndio mwanaume. Hasa hapo kwenye feelings na utayari wa mwanamke kukitafuta na kukifikia kilele.
 
Swala la mwanamke kufika kileleni kwa sehemu kubwa linachangiwa na mwanamke mwenyewe na kwa sehemu ndogo sana ndio mwanaume. Hasa hapo kwenye feelings na utayari wa mwanamke kukitafuta na kukifikia kilele.
Yeah mi nakubaliana na hili, vinginevyo utajitesa tu. Mwanamke lazima awe anakutamani na anapenda kusex na wewe haswa. From my experience Ovulation days are the best kwa mwanamke kufika kileleni.
Ndani ya siku zile 4 usipoweza mfikisha mpenzi wako wewe utakuwa kilaza!
 

Mkuu tatizo kubwa vijana wetu siku hizi hawajui kutengeneza mazingira ya mwanamke kutamani kusex. Wao wanafikiri maandalizi ya sex yanaanza mkishafika chumbani. Ndio maana huyu mleta mada analalamika amemuandaa mpenzi wake dakika 20 hafiki..

Kwa kifupi, kuanzia unapomtongoza mwanamke, unatakiwa uanze kumuathiri kisaikolojia kwanza kwa kumfanya awe "attracted" na wewe na pili kwa kumjengea "anticipation" na tamaa ya ku sex kiasi kwamba anakua anatamani hilo tukio na analisubiri kwa hamu mpaka anaona kama unamchelewesha!!

Nisiongee sana
 
Thread closed now
 
Mwaga nondo vijana wanakwama sana..maybe watajifunza kitu

Kusex na mwanamke anayekupenda na kukufeel 100℅ kumfikisha ni kugusa tu
 
Kaka huyo sio kama hafiki kileleni ila puling take ni kubwa sana kuliko wewe Huyo hafai hata kua mkeo atakuuua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…