Mpenzi wangu anataka nimkopeshe laki 8

Mpenzi wangu anataka nimkopeshe laki 8

tang'ana

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
12,055
Reaction score
16,509
Mambo vipi wakuu,

Kama heading inaavyojieleza je nikifanya hivo nitakua nakosea?

Na je anaweza kunirudishia kweli au ndo changa la macho afu aingie mitini?
 
Laki 8?? Atarudishaje umemuliza hela hainaaa undugu baba
 
Inategemea na jinsi mahusiano yenu yalivyo na malengo yenu pia na nia yake ya kukopa ni kwa ajili ya jambo gani.
 
Yaani nikuombe tukiwa wawili wewe unakuja waambia MMU???????.. Basi sizitaki tena nimezira
 
mambo vipi wakuu..
kama headinf inaavtojieleza je nikifanya hivo ntakua nakosea na je anaweza kunirudishia kweli au ndo changa la macho afu aingie mitini?

laki 8? wanawake sio wa kuwaamini kabisa usithubutu kumpa laki 8.. demu wangu alinikopa elfu 10 hadi leo hajanirudishia
 
Ukimpa ndi zake huyo kurudishiwa hiyo ni ngumu mkuu kwanza hata kudai hutoweza wanakuaga na maneno ya karaha hao we kama unazo mpe hata nusu tu
 
mambo vipi wakuu..
kama headinf inaavtojieleza je nikifanya hivo ntakua nakosea na je anaweza kunirudishia kweli au ndo changa la macho afu aingie mitini?

Nahisi huyu demu atakuwa ni yule yule aloniomba nimkopeshe laki 8 pia. Ni mpenzi wangu na alisema ana shida sana aongeze mtaji. Dahh huyu balaa sasa.
 
Kwan ww sianakukopesha papuchi kwan umemuoa na ww mkope tuu
 
Pretend umemuhonga,lnaonekana we we lugumyas yaan bahili so,kabadirisha gia angani ndiyo new technique yao cku hiz
 
Laki 8!! Mwambie pesa ipo kwenye line ya m/mpesa je nikutumieee? Akisema tuma na ya kutolea basi hapo si riziki. Mpe tu kwa mapenzi yako
 
Mpe tu kwani unatumia ngapi ushindwe kumpa mpenzi wako 800
 
mambo vipi wakuu..
kama headinf inaavtojieleza je nikifanya hivo ntakua nakosea na je anaweza kunirudishia kweli au ndo changa la macho afu aingie mitini?

Usisubutu kama unatafuta sababu ya kuachana nae mpe hatarudisha mpenzi !sio mume uyo ila kama unataka kumsaidia mpe pesa ambayo hata asipo rudisha usiumie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom