Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

Mpenzi wangu anataka nifuge Rasta

makolola

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2014
Posts
765
Reaction score
290
Wadau ,mimi ni kidume nina mpenzi wangu anasema yeye anapenda nifuge rasta bila hivyo hata jihisi vizuri maana alishawahi kuwa na boyfriend kabla ambaye alikuwa mfuga rasta baadae wakamwagana mazima, akaumia sana sasa anasema mimi ndio nimeponya majeraha yake ya moyoni nifuge rasta ili furaha yake yote ya moyoni irudi.

Sasa mziki unakuja kwenye ukoo wetu,heshima niliyonayo kwa ndugu na marafiki,ninavyofahamika kanisani na kazini ninakofanya kazi,leo wanione nafuga rasta sijui watanioneja?maana mi sizifeel kabisa kuwa kama ni urembo na ninaona nitaonekana kituko. au wadau mnanishaurije?
 
Demu wako mzungu ama??chukua akili zako..na za kuambiwa uamue moje..okybyee
 
Wadau ,mimi ni kidume nina mpenzi wangu anasema yeye anapenda nifuge rasta bila hivyo hata jihisi vizuri maana alishawahi kuwa na boyfriend kabla ambaye alikuwa mfuga rasta baadae wakamwagana mazima, akaumia sana sasa anasema mimi ndio nimeponya majeraha yake ya moyoni nifuge rasta ili furaha yake yote ya moyoni irudi.

Sasa mziki unakuja kwenye ukoo wetu,heshima niliyonayo kwa ndugu na marafiki,ninavyofahamika kanisani na kazini ninakofanya kazi,leo wanione nafuga rasta sijui watanioneja?maana mi sizifeel kabisa kuwa kama ni urembo na ninaona nitaonekana kituko. au wadau mnanishaurije?

impersonation.kifupe hakupendi,amechizika na huyo ex wake so kwa kuwa anammis anataka awe anamuona kupitia kwako.yaani awe karibu na mtu ambaye anafanana fanana na ex wake.huna chako hapo mkuu.

pia chunguza kama huyo mtu wako anatumia kijiti chenye ganzi,aka jani lenye utitiri aka weed aka marijuana aka shada aka ........
 
sitaweza,ila nimeduma nae sana katika mapenzi

siwez fanya kitu ambacho sikihtaji hata kukisikia kisa baby kataka heeeenh no na mapenz lazima feelings ziwe mutual upo.....sasa hapo uamuz kichwan mwako
 
Na ukishafuga ujiandae akuambie uvute na bangi kabisa..hivi mnawapataga wapi mademu wa hivyo..!em piga chini hicho kiumbe ama lah aende jamaica uko..,
 
wanafuga rasta ili wapate mademu wa kizungu hahahaaaaa huyo mpige chini rasta ndio nini
 
Na ukishafuga ujiandae akuambie uvute na bangi kabisa..hivi mnawapataga wapi mademu wa hivyo..!em piga chini hicho kiumbe ama lah aende jamaica uko..,

Hahahaaaa kwan wew hupendi rasta looo!!!
 
Usifanye chochote kile ambacho wewe mwenyewe hukipendi ili kumridhisha mtu mwingine hata kama ni MUPENZI.
 
Back
Top Bottom