Mpenzi wangu anapenda ninavyovuta sigara

Mpenzi wangu anapenda ninavyovuta sigara

Kasema hapo udsm anachukua masters ya nini vile?

Vijana wa aina yake ukute ndo wameajiriwa kwenye ofisi za uma...
Kuna wakati nadhani badala ya kulalamikia matatizo yetu kiuchumi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa tuunde tume huru isiyo na wanasiasa ipewe legal power ipite kila ofisi ya Umma na kusaili upya waajiriwa ama kuwapima uwezo wao wa akili kabla ya kuwapa tena nafasi ama kusitisha ajira zao ili taifa lisogee!
 
She sure loves you so much to pay for your terrible death ticket. I'm a sucker for that kinda love.


bed.jpg
 
Guys, Hola!

Nimekuwa nikijua sigara sasa ni mwaka wa saba , mara ya kwanza nilikuwa navuta kwa kujifurahisha (smoking for fun),lakini sasa nimebobea kabisa.

Nilijiunga na chuo kikuu cha Dar Es Salaam, kama kawaida, kuvuta sigara was part of my campus life hivi, sasa kuna huyu dada alinizimikia, na kudai ananipenda kisa anajiskia vizuri akiniona navuta sigara, imefika mahali, bajeti ya sigara ikawa imehamia kwake, amekuwa akininunulia pakti ya sigara kila siku!

Na kila tukikutana, ananiambia nivute sigara, alafu nim-kiss, guys ikafika time nikamwambia nimfundishe kuvuta fegi, ila amekataa, na imekua kawaida yeye kuninunulia sigara, ila kuna kipindi nlikua nimepanga kuacha sigara, huyo msichana alilia siku nzima.

Nisaidieni jamani, ana mimba yangu kasema nikiacha sigara, ataitoa hiyo mimba!

Nisaidieni jamani, sigara si nzuri kiafya, ila ndo huyu msichana na vitisho vyake.

©welcome to next academic year 2015 /2016

Huyo alikua anakula shisha na mabwana zake wa awali kwenye kumbi za starehe.

Jitambue mkuu.
 
Vijana wa aina yake ukute ndo wameajiriwa kwenye ofisi za uma...
Kuna wakati nadhani badala ya kulalamikia matatizo yetu kiuchumi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa tuunde tume huru isiyo na wanasiasa ipewe legal power ipite kila ofisi ya Umma na kusaili upya waajiriwa ama kuwapima uwezo wao wa akili kabla ya kuwapa tena nafasi ama kusitisha ajira zao ili taifa lisogee!

Teh serikali itakua na upungufu mkubwa mnooo wa watumishi, usajiri ukifanyika upya
 
Kawaida tu Mimi napenda harufu ya kilevi.
 
Vijana wa aina yake ukute ndo wameajiriwa kwenye ofisi za uma...
Kuna wakati nadhani badala ya kulalamikia matatizo yetu kiuchumi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa tuunde tume huru isiyo na wanasiasa ipewe legal power ipite kila ofisi ya Umma na kusaili upya waajiriwa ama kuwapima uwezo wao wa akili kabla ya kuwapa tena nafasi ama kusitisha ajira zao ili taifa lisogee!

Hahahaaaa, anyway sijaajiriwa serikalini wa private sector, wala sina mpango someone to be my boss!!! What we have does not need any of our family member to look for a job!!! So what you think I may be in public or private sector? Pushing Rav 4?
Am not job seeker man, and am not looking either.......
 
Am sorry my advice involves a lie...... mwambie umeanza kuumwa mapafu na unaishiwa pumzi if sh really loves u ataelewa n maybe go to the hosp. Rudi mwambie majibu yanaonyesha ur lungs are infected somehow so inabidi uache akigoma plz mpeleke church that is 1 serious problem. I have met women who dont mind being with someone who smokes ila huyu ambae hataki hata uache na yeye ndo anakusupport mpka kununua mmmh
 
Vuta mpaka ajifungue ili umnusuru mtoto, ukishahakikisha mtoto yuko salama acha sigara.
 
Mmmh sio ya kuvuta sigara kweli??

Is there any discipline available in the varsity or unajisemea tu?
Nahisi wewe akili yako ina hitaji something like ice cubes to cool off!!!
 
Am sorry my advice involves a lie...... mwambie umeanza kuumwa mapafu na unaishiwa pumzi if sh really loves u ataelewa n maybe go to the hosp. Rudi mwambie majibu yanaonyesha ur lungs are infected somehow so inabidi uache akigoma plz mpeleke church that is 1 serious problem. I have met women who dont mind being with someone who smokes ila huyu ambae hataki hata uache na yeye ndo anakusupport mpka kununua mmmh

At least umenifungua akili, hiyo ni fiti, I'll work on!!!
 
Vuta mpaka ajifungue ili umnusuru mtoto, ukishahakikisha mtoto yuko salama acha sigara.

Kuna madhara yoyote kwa mtoto angalli nikivuta na yeye kupenda huu moshi wa sigara? Wasichana wengi hawapendi sigara ila huyu kawa wa tofauti!!!
 
Back
Top Bottom