Mpenzi wangu anapenda ninavyovuta sigara

Mpenzi wangu anapenda ninavyovuta sigara

47pro

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2015
Posts
1,204
Reaction score
333
Guys, Hola!

Nimekuwa nikijua sigara sasa ni mwaka wa saba , mara ya kwanza nilikuwa navuta kwa kujifurahisha (smoking for fun),lakini sasa nimebobea kabisa.

Nilijiunga na chuo kikuu cha Dar Es Salaam, kama kawaida, kuvuta sigara was part of my campus life hivi, sasa kuna huyu dada alinizimikia, na kudai ananipenda kisa anajiskia vizuri akiniona navuta sigara, imefika mahali, bajeti ya sigara ikawa imehamia kwake, amekuwa akininunulia pakti ya sigara kila siku!

Na kila tukikutana, ananiambia nivute sigara, alafu nim-kiss, guys ikafika time nikamwambia nimfundishe kuvuta fegi, ila amekataa, na imekua kawaida yeye kuninunulia sigara, ila kuna kipindi nlikua nimepanga kuacha sigara, huyo msichana alilia siku nzima.

Nisaidieni jamani, ana mimba yangu kasema nikiacha sigara, ataitoa hiyo mimba!

Nisaidieni jamani, sigara si nzuri kiafya, ila ndo huyu msichana na vitisho vyake.

©welcome to next academic year 2015 /2016
 
Huyo demu chenga naye..Mi naona anakujaza ujinga tu..
 
Guys niko serous, I really need ur advice!!!
 
I have been smoking it's seventh year now. 47pro Tafadhali Iwe hivi I have been smoking for seven years now. English form two matumizi ya FOR na SINCE ama PRESENT PERFECT PROGRESSIVE.
 
Last edited by a moderator:
I have been smoking it's seventh year now. 47pro Tafadhali Iwe hivi I have been smoking for seven years now. English form two matumizi ya FOR na SINCE ama PRESENT PERFECT PROGRESSIVE.

Nothing like that.
 
Last edited by a moderator:
Guys niko serous, I really need ur advice!!!

Ngoja basi nikupe ushauri.

Huyo bibi hakupendi kwa uvutaji wako bali anakupenda kwa michakachuo yako kitandani, na hali yake ya ujaauzito.

Mwanzoni alifikiria kuwa kama atakusifia na sigara unazozipenda basi utampenda zaidi, lakini alipopata ujaauzito ameizoea hiyo harufu ya sigara.

Sasa hivi mwambie wewe unapenda sana kula chocolate bars (au kitu chochote kile anachokipenda wakati huu akiwa mjaa mzito). Mwambie kuwa siku hizi sigara wala hazikuvutii sana na unamhitaji yeye akuelekeze kwenye kitu kitakachomifanya muwe pamoja.

Akikubali basi huyu mama atayeyuka kama barafu - anajaribu kukupendeza wewe tu ili umpe mahaba anayoyapata kwako - pengine sigara haina uhusiano wowote ule na mahaba haya. Akikubali hiyo ladha nyingine basi tatizo litakuwa limekwisha. Lakini akisisitiza sigara basi endelea mpaka atakapojifungua.

Hata siku moja usimlazimishe kuvuta akiwa mjaa mzito, ni hatari kwa dogo anaekuja.

Kama akikubali usivute sasa basi, trust me, akishajifungua atakulamba vibao ukivuta tena usoni mwake.

Mdekeze mwenzio. Wengine wanapenda kula malimao, udongo wa mfinyanzi, maembe mabichi, nk. Yeye anapenda kukudanda ukiwa unanukia nicotine.

Yataisha haya. Baki nae na umfariji kipindi hiki kigumu kwake. BE A MAN!
 
Ngoja basi nikupe ushauri.

Huyo bibi hakupendi kwa uvutaji wako bali anakupenda kwa michakachuo yako kitandani, na hali yake ya ujaauzito.

Mwanzoni alifikiria kuwa kama atakusifia na sigara unazozipenda basi utampenda zaidi, lakini alipopata ujaauzito ameizoea hiyo harufu ya sigara.

Sasa hivi mwambie wewe unapenda sana kula chocolate bars (au kitu chochote kile anachokipenda wakati huu akiwa mjaa mzito). Mwambie kuwa siku hizi sigara wala hazikuvutii sana na unamhitaji yeye akuelekeze kwenye kitu kitakachomifanya muwe pamoja.

Akikubali basi huyu mama atayeyuka kama barafu - anajaribu kukupendeza wewe tu ili umpe mahaba anayoyapata kwako - pengine sigara haina uhusiano wowote ule na mahaba haya. Akikubali hiyo ladha nyingine basi tatizo litakuwa limekwisha. Lakini akisisitiza sigara basi endelea mpaka atakapojifungua.

Hata siku moja usimlazimishe kuvuta akiwa mjaa mzito, ni hatari kwa dogo anaekuja.

Kama akikubali usivute sasa basi, trust me, akishajifungua atakulamba vibao ukivuta tena usoni mwake.

Mdekeze mwenzio. Wengine wanapenda kula malimao, udongo wa mfinyanzi, maembe mabichi, nk. Yeye anapenda kukudanda ukiwa unanukia nicotine.

Yataisha haya. Baki nae na umfariji kipindi hiki kigumu kwake. BE A MAN!
Ndugu, Asante kwa ushauri, kumbuka kabla hajashika ujauzito nilikua na agenda ya kuacha sigara, ila alilia siku nzima!! Mwanzo wa ujauzito wake, nlifurai kwani nlikua na uhakika hatapenda harufu ya sigara, nikaona ni Muda muafaka wa kuacha, ila chakushangaza, kuna siku kaniamsha usiku wa manane, akiniomba niwashe sigara,, lakini nilikuwa mbishi kufanya hivyo, ila ikanilazimu.
Kuna mida nikienda kazini, yuko radhi awashe sigara ifuke moshi chumbani!!!!
Najaribu njia zingine but kaniambia fegi nisiache.
 
Ndugu, Asante kwa ushauri, kumbuka kabla hajashika ujauzito nilikua na agenda ya kuacha sigara, ila alilia siku nzima!! Mwanzo wa ujauzito wake, nlifurai kwani nlikua na uhakika hatapenda harufu ya sigara, nikaona ni Muda muafaka wa kuacha, ila chakushangaza, kuna siku kaniamsha usiku wa manane, akiniomba niwashe sigara,, lakini nilikuwa mbishi kufanya hivyo, ila ikanilazimu.
Kuna mida nikienda kazini, yuko radhi awashe sigara ifuke moshi chumbani!!!!
Najaribu njia zingine but kaniambia fegi nisiache.


Kwa sasa usijaribu chochote kile. Ngojea mpaka dogo atakapofika. Sigara za miezi michache ifuatayo hazitakuathiri.

Akishajifungua atakuwa kwenye state-of mind ya kujadili hili swala vizuri.

Ikifikia hapo unaweza hata kumuonesha maandiko ya taaluma yanayojadili watu wanaokufa mapema kwa saratani za mapafu, koo, ulimi, midomo, wanapoendelea kuvuta sigara.

Muulize hivi kweli atapenda baby wenu ampoteze baba yake (anaempenda kwa moyo wote, eti kwa sababu tu sigara ni muhimu).

Trust me - huyo mama ataweka karantini hapo nyumbani kuwa sio wewe tu lakini wote, hata ndugu na marafiki, hawaruhusiwi kuvuta sigara.

Mpe mama muda mkuu!!
 
Then keep on smoking, dude! We are looking forward to seeing you asking for additional advice on how to treat your lungs cancer, some days to come!
 
Then keep on smoking, dude! We are looking forward to seeing you asking for additional advice on how to treat your lungs cancer, some days to come!

Good one, sir.

It is nice as a joke however, I have volunteered (in hospitals and hospices) to help miserable, sick, dying people afflicted with nicotine inflicted cancer, and it is NOT pretty.

So, GreenCity and 47pro, if you can collect all the courage and stop smoking, I will be more happier for you. Honestly, I do not want to go back to my volunteer work and and meet you there. - STAY OUT.
 
Last edited by a moderator:
Endelea Kuvuta Ila Punguza Kiasi.Mwambie Mapafu Yanauma Na Kwa Siku Vuta Hata 5 Tu.Sigara 20 Kila Siku Utafanya Chekecheke Mapafu Yako.Akijifungua Acha Kabisa Na Atazoea Hali
 
Hapo anajisemea moyoni vutasigaranyingi ili kitandani uwe mchovu mambo ya pumzi

Vuta sigra uwahi kufa ili nikombe kila kilicho chako...
In short haipendi afya yako....
 
Subiri akishajifungua,uache hzo sigara,yy kitisho chake c atatoa hyo mimba??,xxa akishajifungua hana ujanja tena wala mkwara wa kupiga
 
Mmeoana Wote Ni Mapepo Tupu,na Huyo Mtoto Ucpobadilika Nae Atakuwa Pepo. Kwa Sbb Ww Hilo Ni Pepo Limekukamata, Na Kitakachofuata Hapo Ni Kukupa Ugonjwa Ili Ufe.

Ninakuombea Kwa Jina La Yesu Kristo Wee Pepo La Ulevi Wa Sigara Tokaa! Tokaa! Tokaa! Mwachie Kijana Huyu Kwa Jina La Yesu Kristo.Amen
 
Back
Top Bottom