Mpruuu mpaka makah
Member
- Dec 28, 2021
- 63
- 106
Ndugu zangu hali niliyonayo sasa naona sio nzuri, kama nilivyowaambia hapo kwenye juu kama kutakuwa kuna mwenye mbinu mpya anipe.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.
Nimekuwa na mwanamke wangu ambaye kiukweli nilidhani mi napenda mapenzi lakini niligundua mimi sipendi mpaka nilipokutana naye huyo.Eeh bhana yule mwanamke anapenda kufanya mapenzi jamani imefika hatua naona kabisa mbn kama uwezo wangu umeshuka sana kabisa katika kunyandua.
Imefika hatua sasa nimetumia hadi vumbi la mkongo, na kuna kupindi niliwahi hadi kumeza vidonge vile vya kuboost mchezoni maana hamuwezi amini yule mwanamke kila anapokuona yeye anataka show.Furaha yake anataka akukamue aone kama kabisa mashine imelegea kabisaaaaaa
Kuna muda unaweza kustuka usiku ukamkuta ameshakuparamia mara mashine anainyonya kabisa mpka unajiuliza huyu hana usingizi au ni mimi.imefika hatua mpaka naogopa au jini nini huyu.Japo kwao napajua na historia yake naijua na hata ndugu zake nawajua na wapo kaka zake ambao tumekuwa wote.
Em nipeni mbinu mpya jamani maana naona kama uwezo wangu kitandani hadi kama unashuka hivi nitumie nini maana nimesikia hii mivumbi na vidongo vina madhara mara nasikia vinaathiri sperm zinakuwa haziwezi kutungisha mimba mara uwezo baada ya muda flan ndo utapotea kabisa em nisaidieni wana Forum
Au nimwache nini huyu mwanamke na nimezaa naye mtoto mmoja.