BoGotta
JF-Expert Member
- Aug 21, 2015
- 740
- 674
ila sema tu kuna mimba ila siku za hatari hiii maneno ni tamu sana , hamu haiishi unaweza suguliwabhadi ukachubuka unataka tu
Shyeeeh!!! hope si kwa steel wire au dodoki lakini.
ila sema tu kuna mimba ila siku za hatari hiii maneno ni tamu sana , hamu haiishi unaweza suguliwabhadi ukachubuka unataka tu
pumbavu.....kwanini unafanya zinaa....?????
Cha kufanya nenda kwa wazazi wake ujitambulishe na mseme ukweli umempa mimba, toa hata mahari kidogo. Halafu uwaambie unajipanga kumuoa aendelee kukaa kwanza kwao. Msitoe mimba, ni laana ya kupunguziwa maisha ya kuishi. Mungu awarehemu na mmche.
Mwambie asitoe ziba pale pakutokea
kheeee aibu ya kumbinjua binjua .. kujipanua panua hakuona .. ila mtoto ni aibu .. tena mwambie akifanya mchezo huyo mtoto atamchukia mpaka kifo kitakapo muita ..... kutoa mimba si sawa na kuwa na mimba siyo ticket ya kuolewa au kulazimishana ndoa ... ila we unamjua kuliko sisi mshawishi kadri uwezavyo asitoe mimba ili akitoa damu ile isiwe juu yako
Oa kaka ndoa c sumu utazoea baada ya muda mfupi.
Tatizo sijajipanga kaka, kukaa na mwanamke ndani si mchezo.
Basi kakae nae nje mkuu
Muowe hvyo hvyo
Aah wapi, muoe wewe alaf nikishajipanga mi nitamchukua.
Basi kakae nae nje mkuu
Nipe namba zake,ni pm
teh teh teh
hongera .....Na ndicho ninachokifanya