Mpenzi wangu ananitishia kutoa mimba

Mpenzi wangu ananitishia kutoa mimba

Nawe mtishie kumpa nyingine tena extra ili akiitoa tu abaki na nyingine.

That's what we call the remainder theorem!
 
kwani mda wote huo ulipokuw unamwagia ndani ulikuw hujipangi tu.... huwez pand mchicha utegemee kuvuna karang yaani wanaume ninyi!! ndio uoe hivo
 
kwani mda wote huo ulipokuw unamwagia ndani ulikuw hujipangi tu.... huwez pand mchicha utegemee kuvuna karang yaani wanaume ninyi!! ndio uoe hivo

yeye alivyokubali kumwagiwa alitegemea nini?
 
We mwache azae tu bobu.Ndio malipo ya kula "k" kavukavu hayo komaa kidingi dingi hahahahah.Sipati picha ulivyopagawa apo af tatizo nao wakiwaga kwenye tarehe za ajabu huwa hawaelewi kitu wanajiachilia ile mbayaaa!
 
We mwache azae tu bobu.Ndio malipo ya kula "k" kavukavu hayo komaa kidingi dingi hahahahah.Sipati picha ulivyopagawa apo af tatizo nao wakiwaga kwenye tarehe za ajabu huwa hawaelewi kitu wanajiachilia ile mbayaaa!

teh, eti kavukavu, kwan haina maji maji ile?
 
ila sema tu kuna mimba ila siku za hatari hiii maneno ni tamu sana , hamu haiishi unaweza suguliwabhadi ukachubuka unataka tu
 
majimaji si ndio yamekuponza sasa,tulia uitwe "youngfaza" maana hamna namna zaidi ya kuwahi marie stopes ukapewe ushauri wa kitabibu!

kwan mi nakataa kuitwa faza?
yeye ndo anaogopa kuwa na mtoto kabla hajaolewa.
 
Unauhusiano na mwanamke toka muda tu, hlf mmetombana mara 5 tu na kupeana mimba hapo hapo.

Dah sawa
 
Back
Top Bottom