Mpenzi wangu ananitishia kutoa mimba

Mpenzi wangu ananitishia kutoa mimba

youngsharo

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2015
Posts
2,491
Reaction score
500
Habarini wanajamvi,

Nina msichana mmoja ambaye nilianzisha nae uhusiano toka mda tu, na tukaaminiana sana mpaka tukafikia hatua ya kuahidiana kuoana [kufunga ndoa], na kiukweli tulipendana na kutokana na uchumba wa mda mrefu tukaridhiana kulishana lile tunda la mti wa katikati ya bustani, tulinogewa na tukafanya zoezi hili kwa zaidi ya mara 5 na kusema kweli tulijiachia na kujisahau kama bado hatujafunga ndoa, katika siku mbili za mwisho za zoezi hili hatukujikinga.
kabla siku hazijaenda mbali msichana huyu alianza kujihisi na ndipo alipoenda kupima amegundulika tayari mimba imeshaingia.

tatizo linakuja pale ambapo ameniambia kuwa kupata mimba kabla hajaolewa yeye ni aibu kwa familia yake, la sivyo nifanye mpango nimuoe ndani ya mwezi huu kabla wazazi wake hawajagundua kama ana mimba au kama sitaki kumuoa kwa sasa ataitoa mimba hiyo, mimi sitaki aitoe mimba kwani ni dhambi na laana kubwa kutoa kiumbe na nikiangalia mimi sijajipanga kwa sasa kuweka mtu ndani je nifanyeje?
 
Haaa.Mwambie akatoe afilie mbali
ni kujilipia tu kama somalia au talebani.
 
Mwache akatoe bhana watu tumeshavurungwa na matokeo ya uchanguzi!
 
Huyo mwanamke alikuwa anania ya wewe kumuoa.

Alikutegeshea.
 
Anaogopa watu hamuogopi Muumba wake? Ameshapata ticket ya kukublackmail utakoma
 
Inawezekana anajiskia aibu kutokana na familia yao na misimamo alojiwekea..kama hujajipanga mwambie muende nae kwao ukarecognise mimba then abebe tuu atazaa utahudumia mtoto akiwa.kwao then uendelee kujipanga uoe kbs..
 
Nenda kajitambulishe kwao kwanza
mengine yatafuata
 
Inawezekana anajiskia aibu kutokana na familia yao na misimamo alojiwekea..kama hujajipanga mwambie muende nae kwao ukarecognise mimba then abebe tuu atazaa utahudumia mtoto akiwa.kwao then uendelee kujipanga uoe kbs..

ok, ushauri wako kama unaelekea hivi.
 
Kutiwa sio aibu, kutoa mimba sio aibu ila kuzaa mxyuuuu mwambie ajinyonge kabisa ili afe na mimba yake
 
Back
Top Bottom