Mpenzi wangu ananipuuzia

Mpenzi wangu ananipuuzia

True mkuu,.... ila madamu wengi wa Kitanzania hawanaga hobby yoyote, kila kitu anasema sawa hata kama hana ujuzi au passionate na hicho kitu au mchezo....wana bore kinoma
Hao wanaonekana hawana vitu wanavyoweza kuongea akili zikaendana. Mwenzie huwa anakuw uncomfortable kwenye mazungumzo yao na automatically lazima atavutwa sehemu ambazo atakua comfortable.
 
Ushauri lipiza kisasi hii ndio nzuri weka mahusiano hayo na marafiki zako mtime hana ubusy mtoe outing ya maeneo mapya na marafiki na mabarmaids wawe wanakuongelesha unamuacha unaenda kucheka counter na mabarmaids pia marafiki uliowasettle wakija akiwaona unaongea nao unahamia meza yao kabisa akikufuata unadai nakuja tuone kama yeye atapenda
Penda kutembea naye maeneo unayoyajua unajali watu wabarabarani na simu zikiingia unaongea nazo akipiga unakuwa unakata akikuuliza unasema nipo busy simu zinaita za muhimu wewe unapiga piga
 
Pole mzee mapenzi sio kipaji cha wote!
 
Ushauri lipiza kisasi hii ndio nzuri weka mahusiano hayo na marafiki zako mtime hana ubusy mtoe outing ya maeneo mapya na marafiki na mabarmaids wawe wanakuongelesha unamuacha unaenda kucheka counter na mabarmaids pia marafiki uliowasettle wakija akiwaona unaongea nao unahamia meza yao kabisa akikufuata unadai nakuja tuone kama yeye atapenda
Penda kutembea naye maeneo unayoyajua unajali watu wabarabarani na simu zikiingia unaongea nazo akipiga unakuwa unakata akikuuliza unasema nipo busy simu zinaita za muhimu wewe unapiga piga
utoto mtupu!
 
Wanaume huwa hatulalami kwa mambo madogo kama hayo,jitafakuli kwanza kisha chukua hatua
 
Pole sana...

Dawa ya moto ni moto... nawe jaribu kumuoesha tabia hizo hizo...


Cc: mahondaw
 
Akikuhold kata

Akikuhama ondoka hiyo sehemu na usimtafute tena
 
Mkuu acha kauli za ubaguzi mbona wahidi wengi wamesha kua waafrica na wanatabia za uswahilini kama wengine, kuna wengine huuza papuchi kwenye Kasino nyingi hapa Dar.......
Halafu wanachaji USD wajinga sana... Kuna moja nilikutana nae Palm Beach,akaomba $ nikasema kweli wewe ni kenge mweusi
 
Jiongeze mkuu hupendwiii

Kusoma hujui hata picha huoni jamani
 
Back
Top Bottom