Mpenzi wangu ananing'ata

Mpenzi wangu ananing'ata

jun255

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2015
Posts
391
Reaction score
280
Habari?

Mimi na mpenzi wangu ambaye nampenda sana na yeye ananipenda sana.Huyu mdada nimemkuta anatatizo la kuumia wakati wa sex hivyo ilichukua muda mrefu kunikubalia tusex na hapo mpk nilimjenga kisaikolojia na kuniona niko tofauti na waliopita.

Siku ya kwanza kusex sikujali me kuridhika ila nilijitahid kwanza asipate yale maumivu na kweli hakuyapata.Siku ya pili kusex nilijitahidi mpaka kuhakikisha namfikisha na kweli nilifanikiwa.Baada ya hapo mapenzi yamekuwa kero kwangu! Amekuwa akitaka nimchezee au kumuandaa (huku akidai najua kumuandaa) mpaka anapokojoa.

Tatizo hayuko tayari nisex nae mpaka nimuandae na akojoe na wakati anafika huwa lazima akung'ate kwa nguvu mpaka kuniachia alama.Tatizo akishafika kwa kuchezewa hataki tusex au hata akikubali tusex anakuwa hasikii chochote coz ye alisharidhika hivyo anakuwa katulia tu me nijisavie mpaka nitosheke na hakuna ushirikiano tofauti na napokuwa namuandaa.

Jamani nahisi huyu anasagana ndo maana anakuwa hivi na pia nakereka anavyonitia alama na meno yake.

Nifanyeje kwani kawa kero sasa kwangu?


(Copy kutoka page ya insta mapenzinamahusiano
 
Usimuhukumu kwanza shukuru ameacha kuumia naomba mjenge kifra uweza ameathirka kisaikolojia
 
inaonekana alikua na tabia ya kufanya masturbation so hana hisia na mwanaume tena
 
jun255, kwanza kabisa naomba huyo mwanaume afute kabisa hiyo kauli kuwa huyo msichana anapenda kusagana. Tatizo huyo mwanaume ni kuwa alimzoesha mpenzi wake kufanya oral sex na ndio maana hata huyo mpenzi wake haoni raha tena ya mboo hasa ukizingatia kuwa nampa hiyo mboo wakati akiwa ameshafika kileleni/ameridhika. Waswahili wanasema samaki mkunje angali mbichi kwa maana akikakuka hawezi kukunjika ila yeye badala ya kumfunza mpenzi wake utamu wa mboo akiwa yeye akaanza kumzoesha utamu wa oral sex, unategemea tatamani tena uume wakati ameshazoea na akilini mwake amejijengea kuwa uume ni chungu na inampa maumivu?

Cha kufanya hapo ni kubadili gia, yaani badili mtindo wa mapenzi. Amuonyeshe utamu wa uume, amuonyeshe kuwa uume ndo chakula kikuu kwake wakati wa tendo la ndoa, hayo mengine yote viungo tu na bila mboo mlo haujakamilika yaani tendo la ndoa litakuwa halijakamilika. Akiweza kufanya hayo basi atabadili mawazo ya mpenzi wake na wote watafurahia tendo la ndoa kama watu wengine.
 
Last edited by a moderator:
Sasa km hakupi ushirikiano kwny tendo ndio nini au ni kiburi???

Hata me nahic alikua na tabia ya kusagana au kujichua akaleta kisingizio cha kuumia,
Na ww ulivyoenda nae sawa ndio umemaliza kbs,

Kukung'ata ndio mzuka wake huo, wengine wanapigwa mpk mangumi, wengine wanatukanwa, so vumilia,

Ushauri:
Kaa nae chini umueleze vile hakupi uhuru wa sex na umueleze unavyotaka,
Huenda akakuelewa na ukafurahia maisha yenu.
 
Mimi kuna mmoja alikuwa ananpiga makofi akiwa kileleni! Nlivumilia km mara 2 hivi! Kuna siku na mm ikawa zamu yng, nilimchapa ngumi 2 za haraka haraka! Ndani ya dk 2 tu, uso wa mrembo umeumuka! Nikmwambia nisamehe, nlikuwa ktk peak! Mpk leo, sioni makofi wala kelele, kila mtu kileleni kimya kimya
 
kula ndogo huyo ndio anachokitaka nawajua mademu wa hivyo
 
jun255, kwanza kabisa naomba huyo mwanaume afute kabisa hiyo kauli kuwa huyo msichana anapenda kusagana. Tatizo huyo mwanaume ni kuwa alimzoesha mpenzi wake kufanya oral sex na ndio maana hata huyo mpenzi wake haoni raha tena ya mboo hasa ukizingatia kuwa nampa hiyo mboo wakati akiwa ameshafika kileleni/ameridhika. Waswahili wanasema samaki mkunje angali mbichi kwa maana akikakuka hawezi kukunjika ila yeye badala ya kumfunza mpenzi wake utamu wa mboo akiwa yeye akaanza kumzoesha utamu wa oral sex, unategemea tatamani tena uume wakati ameshazoea na akilini mwake amejijengea kuwa uume ni chungu na inampa maumivu?

Cha kufanya hapo ni kubadili gia, yaani badili mtindo wa mapenzi. Amuonyeshe utamu wa uume, amuonyeshe kuwa uume ndo chakula kikuu kwake wakati wa tendo la ndoa, hayo mengine yote viungo tu na bila mboo mlo haujakamilika yaani tendo la ndoa litakuwa halijakamilika. Akiweza kufanya hayo basi atabadili mawazo ya mpenzi wake na wote watafurahia tendo la ndoa kama watu wengine.

Nimeipenda...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom