Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Wajamani nitakufa. Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu. Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki. Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu. Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo. Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo. Leo kazini kazi sikufanya. Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi. Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo, nimekoga matusi.
Wajamani nitakufa. Siku ya alhamisi nimemfumania mpenzi wangu kwa mara ya tatu. Mara mbili nilizo mfumania nilimsamehe. Mara ya tatu nikaona isiwe tabu, mkunguru shetani afugiki. Kwa bahati nzuri siku ya ijumaa nikawa nimesoma hapa MMU kuwa kazi ya moyo ni kusukuma damu siyo kupenda, nikamuacha mpenzi na kashifa juu. Kufika usiku siku ya ijumaa usingizi sikupata, jumamosi moyo uliniuma nahisi damu ilikuwa imepunguza mwendo. Jumapili yote jana nikawa bedrest moyo, akili vimepoteza mwelekeo. Leo kazini kazi sikufanya. Jamani mtoto wa kirangi ananifanya chizi. Nimemtumia sms ya kurudisha majeshi leo, nimekoga matusi.
Kazi ya moyo ni kusukuma damu na si kupenda hahahaha!!!!!!! msamaha wa nn sasa??
ukiacha au kuachwa wakati huna pa kujishikiza maumivu yanakuwa mara dufu pole sana, inauma na ni ngumu ila jikaze uendelee na maisha mengine
Be a man wanaume hawapo hivo!
Mimi nadhani nimefanyiwa surgery ya moyo wakanitia moyo wa chuma.
Kwanza mimi mwanamke labda aniringie mengine siyo sex, nina uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila hiyo kitu, labda kama kunikomoa utakuwa utanitesa kwa mengine na hasa house keeping. Lakini otherwise i love my self.
hebu nipe siri ya mafanikio uniokoe na mie, make mi siwezi kukaa bila hiyo kitu na nikinyimwa nalia machozi kabisa na kamas zinatiririka kama mtoto wa kondooMimi nadhani nimefanyiwa surgery ya moyo wakanitia moyo wa chuma.
Kwanza mimi mwanamke labda aniringie mengine siyo sex, nina uwezo mkubwa sana wa kukaa muda mrefu bila hiyo kitu, labda kama kunikomoa utakuwa utanitesa kwa mengine na hasa house keeping. Lakini otherwise i love my self.