Mpenzi wangu ana wivu sana

Mpenzi wangu ana wivu sana

bb7

Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
87
Reaction score
3
Habari wakuu:

Katika kipindi cha mahusiano nilichopitia sijawah kuwa na msichana mwenye wivu kama huyo wa sasa.Tumekuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo lakini ana wivu wa kupitiliza.

Anatumiaga namba za marafiki zake kunipima kama nina mpenzi mwingine lakini huwa nagundua ni yey ananijaribu so namjibu as yupo yeye tu.

Pia anavuka mipaka hadi anamuliza rafiki yangu wa karibu kama nina mpenzi mwingine hujibiwa ni yeye tu japo ninao wengine kama wawili wa kuzugia coz ye anaonyesha ana future na mimi.

Je huo ni upendo wa dhati au?maana kitandani nampaga doze ya kueleweka hadi 9 siku zingine toka asubuhu hadi jioni.
 
Ukiona mtu ana wivu sana na kukufuatilia sana, jua hatimizi wajibu wake vizuri ivo anawasiwasi.
 
hamna mkuu # kwichkwich natumia dk 20-25 kwa bao la kwanza

duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh
 
Ukiona mtu ana wivu sana na kukufuatilia sana, jua hatimizi wajibu wake vizuri ivo anawasiwasi.

mkuu hyo msichana anipenda kwa kweli,yan adi mama ake kampa namba yangu anitafute na sijahisi usaliti wowote kwake
 
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

vipi mkuu
 
Aiseeeeeeh!! Unalalamikia wivu wa mwenzio na unauliza kama anaupendo wa kweli.

Jibu letu litasaidia nini wakati wewe unavimeo viwili na unaonekana hunampango naye??
 
Huyo mwenye wivu ndio mwizi mzuri inaonekana anakusaliti

hebu na wewe fanya uchunguzi
 
Aiseeeeeeh!! Unalalamikia wivu wa mwenzio na unauliza kama anaupendo wa kweli.

Jibu letu litasaidia nini wakati wewe unavimeo viwili na unaonekana hunampango naye??

mkuu mipango nnaye
 
Back
Top Bottom