Sasa kwani akizima simu kunakuwa na tatizo gn...mimi naishi peke yangu na usiku nazima simu...sipendagi usumbufu mimi...kuna siku nimelala,mara saa nane usiku inaingia sms(siku hy niliiacha on)..kucheki ni mama lishe anayetuletea msosi,ameandika "hi" nikaichekiii,sikujibu nikaachana nayo..najiuliza ningekuwa nimeoa,mke wangu angeelewaje..saa nane usiku tunauziana chai??? Lkn huyo dada sina mazoea nae yyt mabaya,zaidi ya kumwambia "lete hiki au hiki"...sasa imagine nina mke na ameona vile ingetokea nini.kuzima simu kuna hepusha mengi