Demu wako niniView attachment 1678871
Avae kama huyu hapa
Unajua bei zakeAnd these safari bootsView attachment 1678902View attachment 1678903
Nimemdanlodi fesibuku tuDemu wako nini
Kwanini nisijueUnajua bei zake
Halafu hili swali usiliulize tena coz umeliuliza kidharau sana.Unajua bei zake
Mimi napenda akivaa wigi,nachoka kabisaKila mtu anavutiwa na baadhi ya fasheni hasa pale umpendae anapovaa basi roho inajisikia muruaaaa kabisa kiasi cha kwamba unatamani hata umtongoze tena..
Ni vazi gani linakuvutia zaidi akivaa baby wako na hata kama hajawai kuvaa ivyo basi unatamani siku moja avae namna hiyo?
Mimi binafsi baby wangu akiivalia skin jeans tumboni najisikia muruaaa kabisa yani napenda avae kuanzia tumboni na sio kiunoni...yani nikipishana na manzi kaivalia skin jeans tumboni lazima nimsemeshe kitu yani najikuta tu nimempenda ghafla
View attachment 1675522
Sawa mkuu. Mimi ni mteja wa hizo mambo kwa babes.Mbona sijamanisha hivyo mama
Umemaliza mkuuKila mtoko (eneo) na nguo zake,
Mwanamke mzuri anapendeza tu yani hata kwenye dela hadi raha.
And Bang!Kila mtoko (eneo) na nguo zake,
Mwanamke mzuri anapendeza tu yani hata kwenye dela hadi raha.
Kwakweli utu uzima dawa! Basi nikiviona hivo visendo huwa nasema hiii siwezi vaa aisee na tule tubegi tudogo twa mgongoni ila wanaovaa wanapendeza vizuri tuu
Si ndio ulichotaka? Unachopendezwa na mpenzi wako ni chako la sivyo unataka watu waanze kumfukuzia.Utaenda kumsumbua bure
Duu Hadi matako tena.Aaah mie mwanaume akivaa hivi ananimaliza alafu awe na katako ka uchokozi . Afu mwanaume kunukia ni muhimu.
Sio matako i mean kajitako flani hivi kagumu gumu. Huwezi elewaDuu Hadi matako tena.
Wanawake mnaangalia matako ya wanaume?
Hii ndo mikato naikubali sana aiseeHahaa jeje pia sawa! Ila hivi vipi?