cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
ofcoz
LOL
kwa hiyo nili-think greatly kuulizia paper za urithi sio eenh??
safi.
ofcoz
usijaribu tena ,unaweza kuua mtu.. mi ukituma ujumbe hivi sitawaza kama uliwahi/ au nimewahi kukusaliti, wazo la kwanza litakuwa mume wangu mpenzi ndio anakufa ss... plz, this is not a goo jokeNiliwahi kumtumia mke wangu na hakuna aliyeweza kuongea nami hadi jioni yake, ambapo mke wangu alizinduka akiwa hospitalini na hivyo watu wakapata akili ya kunitafuta mimi tena....! Nilibaki na swali gumu kuwa je, alizimia kwa kushutushwa na hali niliyonayo au ni maswali yangu yamekuwa magumu kwake...!? Aidha, sipendi kuurudia tena, maana kumbe mtu anaweza akakutangulia wewe...!
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!