Mpenzi wako ana mchango gani katika maisha yako?

Mpenzi wako ana mchango gani katika maisha yako?

You are the baddest

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Mume wangu ndie nguzo yangu katika maisha yangu. Ndie nguo yangu ananistiri na kunivika joho la heshima. Ndoa ni stara eti.

Yeye ndie kila kitu kwangu. Mungu anitunzie na anilindie.
 
Mume wangu ndie nguzo yangu katika maisha yangu. Ndie nguo yangu ananistiri na kunivika joho la heshima. Ndoa ni stara eti.

Yeye ndie kila kitu kwangu. Mungu anitunzie na anilindie.
Kama kipo kitu ambacho angalau uwepo wake kuna pengo linazibika shikilia hapo hapo.
 
Mi wabgu huwa nainjoi harufu yake ile sijui marashi au take ya asili yaan kuwa nae tu karibu...!!ye ana vistori stori flan hiv sio vya ajabu ambavyo sijawahi kuvisikia ila jinsi ambavyo ye husimulia,pozi na maringo take,masikhara dah akiwa mbali tu nahisi upweke vibaya mno.....
 
Ucnicheke mwenzio nnauchungu

Sent using Jamii Forums mobile app

Kunywa maji mengi mkuu, jitahidi kula balance diet haswa mboga mboga na matunda kama parachichi halafu baada ya maumivu unakuwa bado umependeza.

Halafu hujazaliwa naye huyo kila jambo lina alternative mfano Mungu aliona yeye kudeal na wanadamu kila kitu atachoka akaweka Yesu, Mtume Mohamad S. A. W.

Relax pray
 
Kunywa maji mengi mkuu, jitahidi kula balance diet haswa mboga mboga na matunda kama parachichi halafu baada ya maumivu unakuwa bado umependeza.

Halafu hujazaliwa naye huyo kila jambo lina alternative mfano Mungu aliona yeye kudeal na wanadamu kila kitu atachoka akaweka Yesu, Mtume Mohamad S. A. W.

Relax pray
Sawa my dear ntafanya ivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywa maji mengi mkuu, jitahidi kula balance diet haswa mboga mboga na matunda kama parachichi halafu baada ya maumivu unakuwa bado umependeza.

Halafu hujazaliwa naye huyo kila jambo lina alternative mfano Mungu aliona yeye kudeal na wanadamu kila kitu atachoka akaweka Yesu, Mtume Mohamad S. A. W.

Relax pray
Sawa my dear ntafanya ivo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie walimu wa sekondary mna matatizo usione tu madam ushajua ni mwalimu mwenzako[emoji3] [emoji3] [emoji3]
[emoji1] [emoji1] [emoji1] tulia basi niongee na madame wa kiswahili

brain is the beautiful part of the body.
 
Mimi alikuja Nikampa mimba saiv nalea Mtoto ...ila hanishaurigi chochote .....juz aliniandikia msg ananiambia nataka kukaa kwangu [emoji23][emoji23][emoji23]....yaani ahamie kwa Muhuni [emoji48].... Kuoa Mpaka Nimalize Chuo aiseee .... After 3 years I will get Marriage

BANNED
 
Ungeuliza wapenzi wangu, hapo ningeweza kujibu
 
Back
Top Bottom