Mpenzi wa zamani hapaswi kuwa adui

Mpenzi wa zamani hapaswi kuwa adui

Ila mkuu c unajua watu hawaachani, wanatengana tu
Ni bora kuachana kabisa mkuu kwa sababu hujui muda mlioachana ametembea na wanaume wangapi na kilometer ngapi mkuu kila gari inavyotembea ndivyo inavyochoka sasa si atakuletea maradhi tu mkuu unaacha nae kupunguza stress kwake
 
Ni bora kuachana kabisa mkuu kwa sababu hujui muda mlioachana ametembea na wanaume wangapi na kilometer ngapi mkuu kila gari inavyotembea ndivyo inavyochoka sasa si atakuletea maradhi tu mkuu unaacha nae kupunguza stress kwake
Kama hukumkuta bikra ,ulijua kashatembea kilometer ngapi,??
 
Kama hukumkuta bikra ,ulijua kashatembea kilometer ngapi,??
Akiwa mdogo waweza amini kuwa gari yawekwa bandani ikitoka yaendeshwa kidogodogo ila likishakuwa mbuzi kakata kamba mkuu huyo hashikiki aweza kukimbia kilometer 3 kwa saa hiyo ni kujihatarishia maisha mkuu
 
Akiwa mdogo waweza amini kuwa gari yawekwa bandani ikitoka yaendeshwa kidogodogo ila likishakuwa mbuzi kakata kamba mkuu huyo hashikiki aweza kukimbia kilometer 3 kwa saa hiyo ni kujihatarishia maisha mkuu
Mkuu kumbuka kuna posibility huko alipotoka kabla ya kuja kwako ndo alikua balaa...
 
Mkuu kumbuka kuna posibility huko alipotoka kabla ya kuja kwako ndo alikua balaa...
Hapo usitumie posibility kwa kuwa ulianza nae tumia probability baada ya kuachana na probability ya maradhi au kukosa tamu ni kubwa kuliko kupata utamu na kukosa maradhi kumbuka waweza pita matembo na mapunda kumbe wewe ni kimbuzi utapwaya mkuu
 
Ex atakuwa Client tuu tena kama ni kitu anahitaj kununua piga cha juu mfano anataka gar na hajui jinsi ya kuagiza we changmkia hyo
 
kitu ambacho kimenishinda ni kuwa ukaribu na ex wangu ninapoanza safari mpya hayo mengine naachana nayo kabisa
 
Mapenzi ya kishamba ya kuachana mpaka mtoleane matusi!
 
Mixing your past with the present is going to destroy your future.....
 
Kupenda Ni agizo kwa Mungu mpende mwanadam mwenzio ila si Kila unaempenda ukamfanya rafiki. Inapotokea umeachana na mtu mchukulie kama binadam mwingine ambae hata Leo ukimkuta ameanguka utamsaidia. Ila hujaambiwa ukamfanya rafiki. Ndo maana unaagizwa mpende adui yako. Mlipe kwa wema. Ila pamoja na yote kumbuka adui yako si rafiki yako. Tofautisha Hilo. Hutasumbuka kabisa. Ubaya Ni pale unapoachana na mtu ukamfanya rafiki. Utaliwa tu.
 
wengine bac tyu yaan hata ukimsalimia au kumtafta kwenye cm anadhan unataka kurudisha majeshi kumbe wapi ni kumpa salalmu tu, bac anariiiinga kumbe mtoto wa watu cna mda nahitaji urafiki tuu kuondoa uadui
Urafiki gani Yani imeagizwa mpende adui yako ila kumbuka si rafiki yako. So mmeachana urafk gan unatafuta
 
Aa ndugu zangu..Upendo mradi si viwandani , si hisia ni awaited, na hawawezi kuzaliwa ya upendo kati ya wanandoa ghafla tu mkutano chini ya paa moja , Upendo ni mchanganyiko wa hisia na uzoefu haja ya kura ya akili na ujenzi wake na maendeleo kati ya pande mbili .kwa hivo sio uadui bali ni wivu lkn akili kati ya pande mbili muhimu sanaa
 
Eti Sura kama kitunguu ,,,,mbona ulikubali kudate nae?
Haujawaelewa vzuri watu na unafiki wao kwenye suala zima la mahusiano. Wapo wengine ukisikia akimtolea maneno ya kumshusha kwa kumkashifu mwenzie,huwa ni kinyume na maneno yale. Kujikweza tu.
Ukimfuatilia utakuta anaenda kisiri kubembeleeza! Akikataliwa utakuta anahonga kiasi kikubwa sana na muhusika akiendelea kukazia msimamo wa kutetea hapana yake,utakuta jitu zima linamwaga machozi. Kinakuliza nini wakati umesema sura kama kitunguu? Kilio kile na kunyong'onyezwa kwa "kupigwa chini" huwa ni siri yake kwakuwa hakuna cctv kuthibitisha udhaifu wake huo. Ukimchunguza kwa kumwangalia usoni mtu anayekashifu "partner"wake,utagundua uongo aliouficha machoni mwake.
 
Back
Top Bottom