nwy, what i believe is that kwa mtu anaejiheshimu na kuiheshimu ndoa yake suala la kumbania si la kuuliza, ila kama ndo akina nyie msioyajali mahusiano ya wengine it may happen, BUT, dont forget kwa wewe unaefanya hivyo na chako lazima kiliwe
ukweli usiopingika
mliwa cha mwenzake na chake huliwa
mtenda siku zote hutendwa!!!!!!