Cereal Killer
Senior Member
- Aug 17, 2015
- 130
- 55
Habari wakuu.
Mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa".
Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hiyo kanichunia mpaka leo, mimi kosa langu nini hapo.
We jamaa sio mzima aisee