Mpenzi kanichunia

Mpenzi kanichunia

Habari wakuu.

Mpenzi wangu wa collage juzi alinijia huku akilia kwa uchungu na kuniambia "nimetumia pesa yangu yote ya matumizi katika abortion na sasa sina pesa".

Kwa mahaba nikamfuta machozi mpenzi wangu na kumwambia"Mpenzi wangu hata usijali kabisa,abortion inayofuata ntalipa mimi" Sasa wakuu toka siku hiyo kanichunia mpaka leo, mimi kosa langu nini hapo.

We jamaa sio mzima aisee
 
Ww na mpenzio mmemkosea sana mwenyez Mungu na inatakiwa mkatubu maana si sahih kufanya ivyo,kama ww na mpenzio mngekuwa aborted leo mngekuwa wapi? Na cku nyingine usithubutu kuweka uzi kama huu sehem hii na Mungu awasamehe sana mm na mwenzako maana mtenda dhambi kubwa
 
Back
Top Bottom