Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
duuh.. kwa kweli naskitika kuona watu mnaongelea abortion kama kamchezo cha kufuga nywele na kukata zikiota... wewe si mwanaume mwenye akili timamu.. i think you are under 15 yrs old. "eti inayofata nitatoa hela mimi" shame upon you dick, dickheaded wewe. na ndiyo anakuacha hivyo akirudi mwambie yeye ni mjinga + wewe pia!
Kosa lako ni kusema next abortion utailipia.kama ni kweli aliabort.itakua imemuuma sana afu na wewe wala haujali,afu eti mpenzi wako.ni kwamba haumthamini. You dont care afya yake,ni sawa kwako umpe mimba na kuitoa kama mchezo wa kuigiza.you were not serious and still not serious ubuntuX.na awe amekukimbia kabisa.
Hawezi kunikimbia coz anajua akinikimbia ntavujisha nudes zake
Sasa huyu ni mtu au kiatu?
Dah JF INA matahira kuliko mtandao wowote ule duniani.
Yaani mmetoa mimba na bado MNA mpango huo tena
Then unakuja kujisifia humu!!
Sifuti kauli.TAHIRA MKUBWA UTAKUWA WEWE,lasivyo futa kauli! mi nawaheshmu member wote wa JF na kuwaona great thinkers.
dunia ina watu na viatu
Some post true stories,some just a humour