Mpenzi hapendi tufanye mapenzi

Mpenzi hapendi tufanye mapenzi

Huyu mwanamke wa 2 kuishi nae,mbona wa awali hakuwa hiv.tulikuwa tunakula mzigo mpaka mimba inamiez 9,miezi 3 baada ya kujifungua tukaendelea kula mzgo.
Hata huyo wa mwanzo hukuwa ukimfanyia fair. Jirekebishe kwa huyu.
 
Mwanzo alikuwa anapenda na kulifurahia tendo, ila baada ya kupata ujauzito hali ilibadilika hataki kabisa tufanye.

Sasa amejifungua na mtoto ana miezi 7 hali ni ile ile, nifanyeje?
Weka hiyo picha kwenye profile zako zote na wall paper ya cm yako.. atalainika tu atatoa uroda mpaka udate.. bonge la solution hutojutia mkuu
Screenshot_20201211-195220.jpg
 
Huniambia yeye yuko ivyo,ata ma x wake alikuwa anaishinao hvyo hvyo tena wakati huo anamimba wala mtoto,
Kama mwanzo alikuwa anatoa mzigo vizuri, nini kimebadilika sasa ? Anafikisha ujumbe gani kwako ?
 
Yani si elewi kipindi anaujauzito alikuwa ananiambia anaishiwa nguvu ,na unakuta anaenda kutapika,sasa ivi mara anaogopa kubemenda ,kufanya mpaka nimlazimishe ,hataki ata nimuandae.
Anakwambia anaogopa kubemenda,wewe hujiongezi kuwa mtoto si wako!
 
Hua inatokea..kuwa na subra Kuna muda atakaa sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom