Mpenzi hapendi tufanye mapenzi

Mpenzi hapendi tufanye mapenzi

Whk

Member
Joined
Oct 1, 2020
Posts
77
Reaction score
91
Mwanzo alikuwa anapenda na kulifurahia tendo, ila baada ya kupata ujauzito hali ilibadilika hataki kabisa tufanye.

Sasa amejifungua na mtoto ana miezi 7 hali ni ile ile, nifanyeje?
 
Labda unamboa basi tu
Humchapi anavyostahili
Unamgusa gusa
Hapana,nachapa vizuri uyu in mwanamke wa 3 kuzaa nae,nampenda sana.max wangu wote hakuna asiyenisifia juu ya shughuri yangu kitandani had leo ,hata walio olewa wananikumbuka.
 
Mwanzo alikuwa anapenda na kulifurahia tendo, ila baada ya kupata ujauzito hali ilibadilika hataki kabisa tufanye.

Sasa amejifungua na mtoto ana miezi 7 hali ni ile ile, nifanyeje?
Tengeneza mazingira ya urafiki nae, kaa ongea nae vizuri, naamini akiwa huru atakueleza kwa uzuri kabisa yanayomfanya awe hivyo, vinginevyo jiandae kusaidiwa majukumu.
 
ndio muda mwinhine ji mabadiiliko ya uzaz mpaka aje akae sawa.oa wa pili wawe wanasaidiana
kwa mke wa kwanza unaapta ulez wa mwanao.na huyu mke mwingine utapata tulizo.ndio kussaidiana
 
Piga puchu bro. Subiri dogo angalau atimize miaka 3 apunguze utegemezi kwa mama ndiyo uanze kuulizia game.

Kipindi hichi mama anachoka. Aangalia mtoto, aangalie nyumba kiujumla wake na akuangalie wewe? Usimfanyie hivyo shemeji.
 
Tengeneza mazingira ya urafiki nae, kaa ongea nae vizuri, naamini akiwa huru atakueleza kwa uzuri kabisa yanayomfanya awe hivyo, vinginevyo jiandae kusaidiwa majukumu.
Huniambia yeye yuko ivyo,ata ma x wake alikuwa anaishinao hvyo hvyo tena wakati huo anamimba wala mtoto,
 
Mwanzo alikuwa anapenda na kulifurahia tendo, ila baada ya kupata ujauzito hali ilibadilika hataki kabisa tufanye.

Sasa amejifungua na mtoto ana miezi 7 hali ni ile ile, nifanyeje?
Anatumia njia gani ya uzazi wa mpango?
 
Piga puchu bro. Subiri dogo angalau atimize miaka 3 apunguze utegemezi kwa mama ndiyo uanze kuulizia game.

Kipindi hichi mama anachoka. Aangalia mtoto, aangalie nyumba kiujumla wake na akuangalie wewe? Usimfanyie hivyo shemeji.
Huyu mwanamke wa 2 kuishi nae,mbona wa awali hakuwa hiv.tulikuwa tunakula mzigo mpaka mimba inamiez 9,miezi 3 baada ya kujifungua tukaendelea kula mzgo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom