Mpenzi ameng'ang'ania simu yangu

Mpenzi ameng'ang'ania simu yangu

Ningekuona na kapicha kidooogo ingependeza zaidi!!

Maana sio kwa true love hii uliyonayo....saii nko jobless vile tu nimemaliza chuo kama wewe so pesa ni mjafala mgumu mno!

Demu gan hapendi hela! Sina demu bwana watu wako kimaslahi mno nkadhaniaga wenye mapenz ya kweli walishaiiisha!
 
Aisee pole sana bibie ila we pambana kuna siku utakuja kuwa kama Merinda Gates
 
Hivi dada unashindwaje kumuacha? Mamas boy halaf bado anakuletea mapichapicha.
Huyo mwanaume hafai.. embu tafuta real man mpambanaji.
Kuhusu sim akiishikilia sana mwachie. Pambana nunua yako.. halafu ukate mazoea.
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jishushe na mbembeleze sana, usijibizane nae, mana majibizano yatazua kipigo. Hakikisha haongelei simu unapobembeleza mfanye ajisikie unampenda sana. Hatimaye utamsahaulisha na utapata access na cm Yako. Kaz kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndo udhaifu wenu mnafata visharobaro sababu ya kupendeza kwao mnaacha wanaume wanaojua wajibu wao. Pole, tafuta simu ingine renew sim card yako uachane na huyo kijana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
Hivi na nyie wanwake hamnaga akili we huoni hilo vuta bangi fanya maisha yako kamchukulie rb akurudishie sim yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
I'd ya unajiita Mrs umeolewa au hujaolewa. Be clear vijana wakusidie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada Kama ulivyoomba tusikutusi nisingependa nikuumize moyo kwa kuuwekea mkeka wa maneno ya Masemango na kukulaumu

Kwanza Dada yetu embu tambua hadhi ,heshima na nafasi yako Kama Mwanamke usipende kujishusha thamani kwa kutumika na mtu duni ambaye haoni umuhimu wako

Pili Usipende na kumuamini kila mtu kiasi cha kufungasha virago vyako na kwenda kuishi nae hapa Mungu kakuepusha na Mengi imagine ungepata ujauzito maisha yenu yangekuwaje ,imagine angekudhuru au kukutoa roho yako ingekuwaje maana umeonyesha kuwa huwa anakupiga

Tatu Acha uzinifu hifadhi uchi wako usiwe Kama jumba la maonyesho kila mwenye kiingilio anaingia ndani khaaah muombe Mungu akuletee mwanamme aliye serious akuhifadhi

Mwisho

Mambo ya hiyo simu chukulia kama ndio sababu ya kutengana nae Mazima usirudi tena na tena kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom