Mpenzi ameng'ang'ania simu yangu

Mpenzi ameng'ang'ania simu yangu

Mrs minel

Member
Joined
Sep 3, 2014
Posts
74
Reaction score
85
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
 
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
Hongera sana kwakuwa na mapenzi ya dhati na ya uhalisia uliotukuka, maana niwachache kama wewe iwapo sio creative story..

Lakini sasa nikupe pole kwa kuwa na mwanaume asiyependa kujishughulisha na kazi yoyte na kuzid kutaka kuukumbatia umaskini wakati ana bahati ya kumpata mwanamke fighter ambayo kiukweli haipatikan kirahsi kwa wanaume wenye focus ya maisha ya mbele..

Lazaid nikushauri kuwa nahsi jamaa anakupotezea time tu, by the way hakupendi na hatokuoa,, zaid na zaid ana ujinga wa kitoto alaf cm sizan kama atakurejeshea huyo,,,, kwa kauli yake hiyo sina uhakika.

We piga kazi mdada maisha magum, wanaume washoka nahsi tusingependa kuoa "mwanamke funza" (dependant kwa kila kitu) any way, kazi iwe ni kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
Nataza jambo lako kwa namna hii
1. Kwanza kitendo cha kuishi na huyo jamaa kienyeji kosa lilianzia hapo....
2. Kitendo cha kutumia pocket money kumhudumia jamaa ni kosa la pili
3. Kukubali kuishi na jamaa nyumbani kwa wazazi wake ni kosa la tatu
4. Wewe kuamua kwenda kuishi kwa dada yako wakati ulishaondokana na maisha ya kwenu ni kosa la nne
5. Kuampa simu ukiamini mmelewanan ni kosa la nne

Hayo juu yote yanaashiria una mpenda sna huyo jamaa ingawa yeye hana mapenzi ya dhati kwako
1. Hawezi kukaa tu home akutegemee wewe... Hili kwa upande wako ni kosa la sita
2. Hawezi kuanza kukuchagulia kazi ya kufanya wakati yeye haleti chochote nyumbani, anangoja wazazi wake walete ndo mle au mlale njaa.... KWAKO KURUHUSU HILI JI KOSA LA SABA
3. Huwezi korofishana na mtu ukakibilia kwa dada, then urudi kwake IN THE NAME KWAMBA MMEELEWANA... NI KAZI SANA KUELEWANA WAKATI KAZI YAKO HAITAKI NA WEWE BADO UNAIFANYA KAZI HIYO... alikuwa anataka kuichukua simu KWA KUJIFANYA MMEELEWANA

Cha kufanya
1. Achana na huyo jamaa, hana future na wewe....
2. Kama una mpango wa kwenda shule na namna ya kusoma unayo, kasome sasa wakati ukiwa na umri mdogo na majukumu bado hayajapamba moto
3. Tafuta au andaa mwanaume wa kuanza maisha naye, huyu MAMA BOY HAKUFAI
 
Jf sikuhiz ukileta mada watu kabla ya kucoment wanapekua thread zako za nyuma kwanza haahaa......

Huyu Dada anaonesha alikuwa anampenda sana jamaa. Sema jamaa siyo.

Thread za nyuma zinajieleza pia.
 
Huyu Dada anaonesha alikuwa anampenda sana jamaa. Sema jamaa siyo.

Thread za nyuma zinajieleza pia.
Ahaa huyu hana shida mkuu? Maana kuna wengine Leo anakuwa mwanamke kesho mwanaume
 
Pole sana dada.. maneno yako yamejaa huzuni sana.. ila unatakiwa kuanza kubadilika kiitikadi la sivo naona kabisa ukiendelea kudhulumiwa maisha yako huko mbeleni

Ushauri wangu
1. Huyo jamaa mwachie hiyo simu na uachane naye kabisa hata ki mawasiliano.. simu ni kitu kidogo ukipambana vizuri utapata hata zaidi ya hiyo simu. Usikubali akili yako ikawa distracted na kitu kama simu
2. Pambana na hiyo kazi uliyoipata na u focus kuangalia ni namna gani unavuka hilo daraja ulilokuwepo kwa sasa..
 
Habari.. Mimi ni binti nilikuwa naishi na mwanaume kienyeji tu toka mwaka 2017 mwezi wa 8. Nilikuwa nasomea ualimu na nilimaliza mwaka Jana December..kifupi mwanaume wangu sio fighter ni wale mama's boy..hana shuguli yoyote anayofanya na tulikua tukiishi kwao na maisha yetu yalikua magumu na ya kubangaiza sana Mara nyingi pesa nilizokuwa napewa kama pocket money na ndugu zangu kwa ajili ya chuo ndio zilikua zikitusave .Nilipomaliza chuo niliamua kuingia mtaani kutafuta ajira yoyote ya kujishikiza maana ajira za ualimu ni za manati..nilibahatika kupata kazi ya receptionist hotel Fulani January, hapo ndio shida ilipoanzia mwenzangu hakitaka kabisa ile kazi akidai ni ya umalaya so nikae mpaka nipate shuleni..Mimi nilimsihi sana nijishikize tu wakati bado naendelea kutuma maombi mashuleni siku nikipata nitaacha hotelini. Niliikazania ile kazi coz maisha yalishakua magumu sana pale nyumbani mpaka wakati mwingine tunalala njaa, mwenzangu alikataa kabisa na alinipiga sana siku hiyo, nikaamua kuondoka kwenda kwa Dada yangu kuishi huku nikiendelea kufanya kazi hotelini..baada ya siku kadhaa tulielewana na mwenzangu na jioni moja nilipotoka kazini nilikwenda kumtembelea na aliniazima cm yangu ya smartphone kuwa ana kazi nayo baada ya siku mbili atanirudishia nikamuachia ile cm..ile cm nilinunuliwa na mdogo wangu wa kike baada ya kupata pesa Fulani..Jamani yule mwanaume baada ya siku kama 4 nikamkumbusha vp simu yangu, aligeuka mbogo akaniambia sahau kuhusu simu hii simu inafidia muda wote uliokaa kwangu..Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
Huyo sio Mume dada. Hebu funguka kaa pembeni tafakari. Mwanaume yeyote ambaye anafaa kitwa mume na baba wa familia ni muwajibikaji.. Kama sio mwajibikaji jiulize anafanya nini mpaka saaa yupo nyumbani tu kwa wazazi wake anakutegemea wewe hiyo tu inatosha kumwondoa kwenye kundi la kuwa mume na baba.
Cha pili hana mipango na sio mkweli na ni msanii.
Moja kukutapeli na kuchukua simu yako hiyo ni ishara mbaya sana kama kafanya hivi mwanzoni mkiona utanunha shamba atauza bila kukuambia .... Utanunua gari ataiba kadi ya gari na kwenda kuuza ... Kwenye hilo la kuchukua simu ni ishara kwamba hata ukiweka hela nyumbani ukiwa na project ya familia atakuibia
Sina muda ningekuelezea mengi natur ya watu kama hao....

Tafakari chukua hatua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jf sikuhiz ukileta mada watu kabla ya kucoment wanapekua thread zako za nyuma kwanza haahaa......
Wanoanza kwa kupekua thread za mtoa mada wanakosea....
UNAPOANDIKA HUMU, WANAOPATA MSAADA NI WENGI...

Wapo wengi yao hawayaandiki lakini wanapitia kusoma yanayoandikwa na huwa wanafarijika sana kuona WANACHOKIPITIA, KUNA MTU AMEKIOMBEA USHAURI NA KIMEPATA MAJIBU YA MAANA...
 
Wanoanza kwa kupekua thread za mtoa mada wanakosea....
UNAPOANDIKA HUMU, WANAOPATA MSAADA NI WENGI...

Wapo wengi yao hawayaandiki lakini wanapitia kusoma yanayoandikwa na huwa wanafarijika sana kuona WANACHOKIPITIA, KUNA MTU AMEKIOMBEA USHAURI NA KIMEPATA MAJIBU YA MAANA...
Ni kweli mkuu wengine tunaponea juu kwa juu kwa namna hiyo
 
.Je jamani nilikosea wapi niambieni na ni haki yeye kuninyang'anya simu? Naombeni mbinu za kuipata simu yangu tafadhali msinitukane
Sijui kwanini wanawake wengi mnapenda kuitumia hii sentensi mkishamaliza kutoa lawama zenu. We omba ushauri usitake kujionyesha wewe ni malaika na wewe lazima utakuwa na makosa yako endapo tukisikiliza upande wa pili
 
Back
Top Bottom