Mpenz wangu anajini jaman ,,,,,,,,,,cjui ni mchawii.....?

Endelea nae tu hata wao majin wana hisia na haki ya kupendwa,endelea nae tuu ongeza upendo jamani...
 
achana na mashetani yatakuua mtafute Mungu mbona yupo karibu nasi sana wangeisha kuchukua kuzmu ila bado Mungu kakupa second chance.
 
Komaa nae mkubwa! Huyo yusuph akimchukua na kakuachia mwili wa huyo demu, wewe ugegede huo mwili uliobaki!
Kama mbwai mbwai tu!

Mimi nafikiri huyo Yusuph ni choko la kupepea analingoja litulizane akuachie mataani bora anza taratibu.
 
Pamoja na majini atakuwa ni mchawi,anakwenda kuwanga. Sepa fasta hapo hayo madudu hayafai.
 
Hivi nyie mnaosema mshike yesu litaondoka mpo serious? Aliyetoa mada anazini ni dhambi katika biblia; atamshikaje Yesu the same time? Au na nyie ni walokole wa type hii? Mi nakushauri achana nae tafuta mwingine..

Usihukumu mwaya ucje na ww ukaukumiwa,yesu amekuja kuokoa wenye dhambi akiwemo huyo mzinzi! So kikubwa akubali kuokoka na asilete mzaha aombewe na awe na iman hayo mavitu yatamtoka!na wala hayatamsumbua
 
HII hali inanitisha na kuniogopesha sana ..nina mda wa miez m3 na mpnz niliye naye sasa...na nnampenda sana ila kila siku upendo wangu unazid kushuka kutokana na kutokuwa na elimu juu ya hayo mambo maana kla baada ya sku 2/3/4 anweza akaondoka(anabaki mwil tuu) ucku na akirud ansema alkuwa kwa rafiik yke anaitwa maimuna...mwanzoni nilikuwa naogopa sana ila kunasiku nilmbana aliniambia ukwel woote jjuu ya hlo dubwasha..Ndipo nikajua kwamba ni jini na si mchaw, kuna watu baadhi waliniambia laweza kuwa jini na wengine wakasema atakuwa ni mchawi .huyo mwanamke me siishi naye nilikuwa na mazoea ya kulala kwake siku 4 mfululzo..ila baada ya kuexperience hay o mambo nikakata mguu kabisa na mawasiliano nikapunguza kwa sababu huyo jini aliwah kunitisha na kumtaka yule m/ke awe(kimapenz) na rafiki yke aitwaye yusuph...ila alikataa ndio chanzo cha mimi kugopa kabisaaa maana niliogopa kuweka bifu na hivyo v2..... jaman nashindwa kukielezea kisa hiki vzur kwa sababu ni kirefu kdogo na mimi sina weledi ktka uandishi ila nnachowaomba n ushaur tuu huenda nikapata zaid ya nilioupata kwa marafiki na ndugu+shehe....niendelee kumpotzea hiv hiv japo yy hatak suala la kuachana kabisa ...anasema yeye ndio mwenye maamuz kat ya mimi au yusufu ...hawezi akatembea na jini.....japo kuna siku MAIMUNA alimwambia utakuja juta maana tabia yake sio nzur kwamba nina m/ke zaid ya yeye,alichonisihi yule m/ke akasema me sijali alichokisema ila nisitoke nje ya penz lake maana nikitoka hazma yake itakuwa ime timia.....nipo njia panda jaman...nifanyajee hap0????
Kuna dini huwa ina amini kuwa mashetani...sorry majini ni sehemu ya viumbe wa dunia hii na hawana shida kiviiile ! Subiri watakuja sasa hivi kukusaidia ila umeniogopesha sijui kama nitalala leo!
 
ww acha ujinga
km upo dar n pm nikupeleke kanisani ww tena ht leo au nikuelekeze uende mwenyewe utaniambua km litabaki jini hapo
na hyo mwanamke piga chini tena shukru hawajakupeleka kuzim ww

usiogope tumepewa jina 1 tu Yesu
 
ww acha ujinga
km upo dar n pm nikupeleke kanisani ww tena ht leo au nikuelekeze uende mwenyewe utaniambua km litabaki jini hapo
na hyo mwanamke piga chini tena shukru hawajakupeleka kuzim ww

usiogope tumepewa jina 1 tu Yesu

Nawe unasali hapo?
nielekeze nami, japo ukinipeleka itakuwa vema.
Nataka kuanza '14 vema.
 
Back
Top Bottom