Makusanyo ya kodi yameongezeka na yanazidi kupanda! Binafsi nasifu na kupongeza kwa jitihada hizi.
[emoji23]Ni jambo jema
Huyu ni Waziri pekee aliyewahi kuapishiwa Ikulu ndogo ya Chato sawia na Waziri mdogo Mollel
Ana Baraka zote za Kanda ya Ziwa 2030!
🤩🤩
View attachment 2575180
Vijana haya mchakato upo wazi shirikini kwa wingi Dira ni ya wote vijana wenye mawazo pevu na bobevu
Yamepanda je yameleta tija gani kwa taifa la Tanzania?View attachment 2575047
Hapa tulipo kwa nchi ilipopitia enzi za mwenda zake jamaa amepambana sana kuinua uchumi na kujenga mahusiano na mataifa ya nje na wadau mbalimbali wa maendeleo, uwekezaji umekua hakuna TRA kutumia mabavu.
Makusanyo ya kodi yameongezeka na yanazidi kupanda! Binafsi nasifu na kupongeza kwa jitihada hizi.
Yamepanda je yameleta tija gani kwa taifa la Tanzania?
Sawa mwenye akili ya kuuza nchi.Mpaka uwe na akili ila ukiwa zwazwa kama kaka yenu Kipara huwezi jua kitu arifu
Sawa mwenye akili ya kuuza nchi.