Mpende sana mkeo, la sivyo...

Si ajabu ndugu muandishi nae mke wake watu wanamliwaza.

Lakini ni maajabu jitu moja liwafariji wanawake kumi wenye kukosa furaha ya muda tu kwenye ndoa yao eti aweze kuwafariji wote hawa nao wamfurahie.

Ni miujiza pekee wanawake wasaliti kupangwa kwenye foleni ya uchepukaji.

Inasikitisha kusikia bingwa la kufariji midebwedo anashindwa kummiliki mke wake wa halali ndani ya nyumba yake.
 
we marinda yako kwenye utayari tu
 
Wasalimie masela wa iyunga mitaa ya inyala
Hahahaha umenikumbusha mbali sana mkuu ingawa naishi Dar lkn hiyo ni mitaa yangu aisee,two weeks ago nilikuwa huko kuna baridi ya kufa mtu mkuu
 
Ukiniambia maneno hayo wakati umenikosea kwa kutembea na mke wangu ambapo ni kinyume cha sheria za dini na serikali, Wallahi nakuua mchana kweupe halafu natangulia mwenyewe mahakamani hata polisi sipitii
 
Huu ujumbe umekugusa sana wewe mrembo endelea kumtesa mkeo utakaziwa tu hakuna namna[emoji23][emoji23]
 
Ukiniambia maneno hayo wakati umenikosea kwa kutembea na mke wangu ambapo ni kinyume cha sheria za dini na serikali, Wallahi nakuua mchana kweupe halafu natangulia mwenyewe mahakamani hata polisi sipitii
Hahahaha kukaziwa kunauma sana aisee pole sana mkuu
 
Hahahaha yaani wengi imewauma sana kuchukuliwa wake zenu,kumbe mnatesa wake zenu!!?? Ndiyo muache sasa km inauma.....
 
Hahahaha umenikumbusha mbali sana mkuu ingawa naishi Dar lkn hiyo ni mitaa yangu aisee,two weeks ago nilikuwa huko kuna baridi ya kufa mtu mkuu
poa mkuu namimi inyala ndio nipo zaliwa maskan ni hapo kituo cha afya iyunga ila namimi now nipo dr! co nilivyo ona unaitwa iyunga nikajua uyu wa nyumban mkuu
 
Yan kila siku tuwapende wao tuuuuuuuu..njoon na mada nyingne...yan nipoteze muda wangu kumridhisha yeye kila siku....yeye vip
Ndio kazi yako hio mkuu

" kumpenda siku zote za maisha yako hadi kifo kitakapowatenganisha "
 
poa mkuu namimi inyala ndio nipo zaliwa maskan ni hapo kituo cha afya iyunga ila namimi now nipo dr! co nilivyo ona unaitwa iyunga nikajua uyu wa nyumban mkuu
Ok kumbe wewe ni wa home kabisa aisee safi sana mkuu
 
Kati ya watu nawapenda, kuwaheshimu na kuwathamini duniani ni mke wangu aisee. Akihuzunika tu kidogo nakosa amani kabisaa.
Mungu akubariki kwa hilo na kamwe baraka hazitopungua kwako Yesu ukutunze na kukulinda daima wewe pamoja na familia yako brooo nakufurahia japo sikufahamau.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…