Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,598
- 8,439
lipia tangazoYaweza kua ivi
sio mkewe wake. Ila ni kademu au kamchempuko ..nasababu videm vinambwembwe utasikia "Mie ni mke mdogo"... So kademu kama haka nulazima kaliwe tu.
(Na ndio maana jamaa kwa mwezi anakuja mwezi mara moja au asije...angekua mke asingehangaika.)
Siku izi unakuta Mke na mume.au mtu na michepuko ake wote wanatumia ARV's ,, ivo ukiondoa umbeya , Bado inabidi umwonee huruma dogo.
Kama ni wazima wa Afya, Ukumbuke Dogo ndo katoka chuo.,, laifu halijasimama vzur. Inamaana Kadem kanapata mashine huku kakimsapoti jamaa kimaisha hapa napale ... ( hapa dogo kacheza, maana anaua ndege wawili kwa wakat mmoja, Anapunguza nyege bado anasapotiwa , naukumbuke dems wa hivi hawana gharama "
Kiufupi. kukaa na demu wa hivi nyumba moja..naww kidume upo na mashine inafanya kazi, daaahh kiukweli kama ni kazima ka afya "Acha tu dogo atafune "
kwan dogo akikula papuchi ndio hatimiz malengo yake, kaka unayumba mno!!Dogo baada ya kumaliza chuo badala ya kuangalia mustakbali wake wa maisha,amejiingiza kwenye mapenzi!! hapo unakuta wazazi wake wametumia gharama kubwa sana kumsomesha,mwisho wa siku unajikuta umelikwaa gonjwa kuu,hapo life tena ndio imeshapotea! nimeukumbuka na wimbo wa Joslin.
Hapa jamaa ana wivu na dogo.Sawa ila wewe maumivu unayapata wapi kwani wewe ndo balozi wa hilo eneo au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Yakhee..!!Asa me nasemaje..!haiwezekani uyo punga ale nke wangu miee,,Mama nassoro nilintoa makete yeye anakuja kumla tu kibwege nazi?!..wallah uyo ntonto nampiga Jini shoga shehe wangu,yani kila akiona kidume aanze kukata miuno tu,,
Nimecheka kweliKumiliki wake wawili lazima uwe na akili nying sana vingnevyo utaletewa mitoto ya kihehe balaaaaaaa
Huwezi kuwa na wisdom kwa kuwa na mke mmoja.Mwanamke mmoja kichwa kinaniuma... Watu wanapata wapi ujasiri wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja? Hapo ndio huwa sielewi.
Huwezi kuwa na wisdom kwa kuwa na mke mmoja.
Walio na wake zaidi ya mmoja Wana raha Sana zaidi ya wenye mke mmoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke mmoja kichwa kinaniuma... Watu wanapata wapi ujasiri wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja? Hapo ndio huwa sielewi.
Acha wanaume wa shoka watekeleza majukumu yao ww wa Chips na tambi baki na huyo mmojaMwanamke mmoja kichwa kinaniuma... Watu wanapata wapi ujasiri wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja? Hapo ndio huwa sielewi.