The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,141
- 51,013
Kwahiyo na wewe mumeo/boyfriend wako akiwa busy watu hua wanajilia tu?Muache dogo ajilie labda mpemba yupo busy
Kwahiyo na wewe mumeo/boyfriend wako akiwa busy watu hua wanajilia tu?Muache dogo ajilie labda mpemba yupo busy
Comment yangu inaweza isieleweke kutokana na umri wa msomaji comment yenyewe But time will tell.kwan dogo akikula papuchi ndio hatimiz malengo yake, kaka unayumba mno!!
Sent using Jamii Forums mobile app
anatamani yeye ndio angekuwa anamtafuna, sasa hajabahatika amebaki kuumia tu.Sawa ila wewe maumivu unayapata wapi kwani wewe ndo balozi wa hilo eneo au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee tulia basi acha kuniharibia,,na bado nataka akirudi amkute amezeeka kwa mitiHabari za weekend wana MMU...
Nimeamua nitoe taarifa katika jukwaa hili pengine huyu mpemba atapata ujumbe aje kufumania,
Kuna dogo mmoja amehamia chumba cha kwenye nyumba uliyopangishia mke wako mdogo maeneo ya tabata jirani na St Mary's, huyu dogo amemgeuza mke wako kuwa wa kwake yani ni anamtafuna muda wowote anaotaka, hasa nyakati za usiku yani mke wako anahamia kwake kabisa, dogo anamfaidi sana.
Ina niuma kama mim ndo natafuniwa yani, alaf we naye unamuacha sana, yani kwa mwez unaweza kuja mara moja au mara mbili na pengine usije kabisa, sijui una wake wangapi we jamaa.. Kama huwez kuwahudumia kwa nini uliwaoa?
Bro watu hawaogopi mpemba wala muunguja, wanatafuna huku, kidogo chenyewe kimetoka chuo juzi damu bado inachemka kinampagawisha kweli mkeo...
Nawasilisha
Mkuu yani huyu jamaa atakua ana wake sijui sitaMwanamke mmoja kichwa kinaniuma... Watu wanapata wapi ujasiri wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja? Hapo ndio huwa sielewi.
Yaweza kua ivi
sio mkewe wake. Ila ni kademu au kamchempuko ..nasababu videm vinambwembwe utasikia "Mie ni mke mdogo"... So kademu kama haka nulazima kaliwe tu.
(Na ndio maana jamaa kwa mwezi anakuja mwezi mara moja au asije...angekua mke asingehangaika.)
Siku izi unakuta Mke na mume.au mtu na michepuko ake wote wanatumia ARV's ,, ivo ukiondoa umbeya , Bado inabidi umwonee huruma dogo.
Kama ni wazima wa Afya, Ukumbuke Dogo ndo katoka chuo.,, laifu halijasimama vzur. Inamaana Kadem kanapata mashine huku kakimsapoti jamaa kimaisha hapa napale ... ( hapa dogo kacheza, maana anaua ndege wawili kwa wakat mmoja, Anapunguza nyege bado anasapotiwa , naukumbuke dems wa hivi hawana gharama "
Kiufupi. kukaa na demu wa hivi nyumba moja..naww kidume upo na mashine inafanya kazi, daaahh kiukweli kama ni kazima ka afya "Acha tu dogo atafune "
haiya, haiya.. umbea 4G, wanaume wa dar mmezidi hadi na umbea ni ninyi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kawaKwahiyo na wewe mumeo/boyfriend wako akiwa busy watu hua wanajilia tu?
Mwanamke mmoja kichwa kinaniuma... Watu wanapata wapi ujasiri wa kuoa wanawake zaidi ya mmoja? Hapo ndio huwa sielewi.
Kumiliki wake wawili lazima uwe na akili nying sana vingnevyo utaletewa mitoto ya kihehe balaaaaaaa
Itakuwa inamuuma kuona yeye kanyimwa alafu dogo kutoka chuo anapewa!Sawa ila wewe maumivu unayapata wapi kwani wewe ndo balozi wa hilo eneo au?
Sent using Jamii Forums mobile app
duhu kweli dogo anafaidi hadi naona wivu natamani namimi nije kupanga hapoHabari za weekend wana MMU...
Nimeamua nitoe taarifa katika jukwaa hili pengine huyu mpemba atapata ujumbe aje kufumania,
Kuna dogo mmoja amehamia chumba cha kwenye nyumba uliyopangishia mke wako mdogo maeneo ya tabata jirani na St Mary's, huyu dogo amemgeuza mke wako kuwa wa kwake yani ni anamtafuna muda wowote anaotaka, hasa nyakati za usiku yani mke wako anahamia kwake kabisa, dogo anamfaidi sana.
Ina niuma kama mim ndo natafuniwa yani, alaf we naye unamuacha sana, yani kwa mwez unaweza kuja mara moja au mara mbili na pengine usije kabisa, sijui una wake wangapi we jamaa.. Kama huwez kuwahudumia kwa nini uliwaoa?
Bro watu hawaogopi mpemba wala muunguja, wanatafuna huku, kidogo chenyewe kimetoka chuo juzi damu bado inachemka kinampagawisha kweli mkeo...
Nawasilisha
Sengerema weWewe ni mmoja ya wale wanaoamini kuwa peponi kuna mabikira wa kuzini nao?
Habari za weekend wana MMU...
Nimeamua nitoe taarifa katika jukwaa hili pengine huyu mpemba atapata ujumbe aje kufumania,
Kuna dogo mmoja amehamia chumba cha kwenye nyumba uliyopangishia mke wako mdogo maeneo ya tabata jirani na St Mary's, huyu dogo amemgeuza mke wako kuwa wa kwake yani ni anamtafuna muda wowote anaotaka, hasa nyakati za usiku yani mke wako anahamia kwake kabisa, dogo anamfaidi sana.
Ina niuma kama mim ndo natafuniwa yani, alaf we naye unamuacha sana, yani kwa mwez unaweza kuja mara moja au mara mbili na pengine usije kabisa, sijui una wake wangapi we jamaa.. Kama huwez kuwahudumia kwa nini uliwaoa?
Bro watu hawaogopi mpemba wala muunguja, wanatafuna huku, kidogo chenyewe kimetoka chuo juzi damu bado inachemka kinampagawisha kweli mkeo...
Nawasilisha
Mkuu napiga vita uzinzi