Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

Mugisher

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
411
Reaction score
360
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley.

Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UKAWA walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley. Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UkIwa walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Yaani waondoke wote katika UKAWA lakini mimi na familiya yangu tutabaki UKAWA.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA !!!
 
Tatizo mnajifanya nyie ni kina "kj".....

mnyika akitoka hamjui majimbo mawili mshayakosa?

ama hamjui la ubungo mshalikosa tayari?
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley. Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UkIwa walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.
Yaani nyinyi sina uhakika vichwa vyenu viko salama, maana fikra zenu ni mfu kabisa.
Shetani hushiba kwenye chuki ila mtu safi hushiba kwenye upendo.
Yaani mnataka kutuambia sisi tuwapende kwa kutengeneza migogoro kwenye vyama vingine?
Kweli sikio la kufa halisikii dawa, hata nyinyi ni vigumu kupona.
Kwa hiyo akiondoka Mnyika au Marando inawasaidia nini waTZ?
Lazima mg'oke october 25, hatuna jinsi ya kuwasaidia.
By the way UkAWA hakuna mpasuko hata aondoke nani.
 
Tatizo la Maccm ni kuwa, baada ya kufilisika kisiasa, baada ya kuona kweli sasa hayapendwi yameingia kuchafua amani kwa kupandikiza chuki wazi wazi kati ya wananchi.
Hizo ndizo siasa mufilisi. Mkiisha pandikiza migogoro katika vyama vingine, hao wanachama wenu wanawatosha?? Si hao hao mnaowafitinisha ndo watakuja kuwa wanachama wenu?? Yaani kweli "Wapumbavu" ndio sasa wanajidhihirisha. Waswahili wanasemaga; Ukipanda bangi, huwezi kuvuna mchicha. Mnapanda uchokozi mmtauvuna uchokozi tuuu.
Kama kwa miaka 54+ mlijichimbia katika kuwaibia wananchi, mnategemea kujisafisha kwa hizi siku 48 zilizobakia?? Bado mpaka sasa mnaendelea kutoa ahadi?? Chama tawala miaka yoote hiyo bado hamna uwezo wa kusema tulifanya nini?? Bado mnaomba mtupe tena ahadi hewa za miaka 5 mingine ati mmepata tingatinga??? Kweli, ukistaajabu ya Musa, njoo uone ya Magufuli. Hilo tingatinga mmelileta kutoka sayari gani??? Mh. JK, leta tena kamusi mpya ya ahadi hewa. Hii, mhhhh. Imebuma. CCM ishakufia mikononi. Hapa, hutokiiiii
 
Tulisha hamua....tunasonga mbele. Nyie wanunueni ndo mtajua wapiga kura ni sisi na wala sii mnyika wala dr blaa blaa na huyo marando unaemtaja. Hata mboe akichapa lapa maamuzi yapo kwetu watz . Bora nec ishampitisha lowasa basi. Tutasonga mbele.

Hivi mbona hamtaki kuelewa, ngoja nikuambie kutu.
Hata wewe na akiliyako hiyohiyi uliokuwanayo ungegombea urais kupitia Ukawa tungekuchagua tunataka kuondoa system inayo fanya kazi kwa mazoeya that's all.

Hata Mboe na Mtei wakihama hatutarudi nyuma.
Maamuzi ya mabadiliko yana fanywa na wananchi weyewe na sio kwasababu ya mtu flani.
You need to know it!.
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley. Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UkIwa walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Mpasuko wa kwanza bado tunausubiri. Au tuachane nao tudandie huu wa pili?
 
Baada ya Dr. Slaa kuleta sintofahamu kubwa kwenye UkIwa/Chadema na fisadi wao papa Lowassa, sasa katika kipindi cha wiki mbili kutatokea 'exodus' kubwa kama ile aliyoimba hayati Bob Marley. Wanaotajwa kusumbuliwa sana na nafsi zao kama Dr. Slaa ni John Mnyika pamoja na Mabere Marando. UkIwa walisubirie hili pigo kubwa ambalo liko njiani.

Dua la Kuku
 
Heheheheheheheheheh kweli ilikuwa TAA , TANU ---- CCM kama vipi badilisheni jina hili haliui tena
 
Kwanini chadema hawapendi ukweli? na hapo ndo mm huwa siwaamini, kimsingi chadema wanampasuko mkubwa sana, sasa hawa viheleele wa JF muda wote wanachojua wao ni kusema hapana, huo mm huwa naufananisha na ugonjwa wa degedege, Lowasa kimsingi amefeli kuibomoa ccm kwa plani yake ya awali na angefanikiwa mambo yake yangemwendea vizuri, wengi hawaelewi hilo, kwani muda wote wao ni hapana2, Lowasa alitegemea mafuriko kutoka ccm, na ndo maana alisema kabla kwamba ushindi ni asubuhi.

Baada ya kushindwa kuibomoa ccm ile lugha yake ya kushinda asbuhi haisemi sasa, hicho nacho hamukisikii jamani? Lowasa kajikuta mafuriko ni mizigo wenzake ambao kimsingi hawana ushawishi kwa watu, mfano Masha, huyu masha alipigwa chini na wenje na juhudi kubwa alizofanya wakati huo ili atangazwe kuwa yy ndo mshindi, safari hii alikwenda Sengerema nako kapigwa na Ngereja-sasa kaibukia UKAWA.Mgeja pia hana ushawishi Shinyanga, Msindai ndo kabisaa, Dr.Makongoro Mahanga, hayo ndo mafuriko ya Lowasa kupata ushindi, wakaona hali imekuwa mbaya sana, imebidi abembelezwe Sumaye pamoja na tofauti zao za muda mrefu labda anaweza kusaidia ukiweka na kaukanda kao kakishikaji, bado Sumaye kaonekana alikuwa anaitwa Mr.0 maana yake katika mawaziri wakuu wa tz yy ndo alikuwa mzigo. kimsingi hali si shwari ndani ya umoja huo.
 
Lowasa ndo Rais wa JMT amin ivo
 
Ipi sera yenu nyie ccm? achaneni na ya ukawa..wananchi tunataka kusikia sera zenu...sio mashitaka! Au ndo mshaanza kazi ya chama cha upinzani!

Hivi umekaa kabisa ukatafakari na kumuona EL ikulu? Labda huko Monduli, mkamjengee state house, lakini pia mnaitwa kuchangia kampeni za UKAWA.. pesa imekata!!
 
Back
Top Bottom