Mpare akataa kutoa lift, kisa?

Mpare akataa kutoa lift, kisa?

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
ndani ya gari inayotosha abiria wanne , mpare akiwa amepakia abiria wawili aliombwa lifti na abiria wengine wawili akakataa.

Eti anadai mafuta hayatatosha.
 
the bigger the load the bigger the power required hence more fuel.mpare hakukosea.
 
Mtoa mada naona umeamua kutuvunjia heshima kwa makusudi kabisa...ina maana wewe hujui kuwa mzigo mkubwa unapelekea matumizi makubwa ya fuel.....??
CC mshana jr
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom