Hii ipo kwenye ukurasa wa ngapi wa hicho kitabu?
Nimejaribu kutafuta vaccine, 5G kwa hicho kitabu, sijaona kabisa.
Au hayo maandishi hayapo kwenye hicho kitabu?
Haya mambo ya duia hii bwana waliyoyapanga wote washakufa na kuyaacha na sisi tutakufa tutayaacha as long as hakuna anayeishi milele... sasa yanini kujochosha!
Huwa mnaharibu hapo kwenye kusema wataikamilisha karne nyingi zijazo, wanatekeleza na kufanikisha mipango yao kila siku na sio kusubiri muda huo hata sasa wanamipango wameshaitekeleza... Hivyo ni mfumo ambao upo unafanya kazi na unafanikisha kazi zake... au huwa tunafanya online payment kwa pesa gani kwa kiasi kikubwa..? Almost tunatumia currency moja.. Je hatuongei lugha moja kuhusu haki za kibinadamu duniani..?? Na anayeenda kinyume tunamtizama kwa jicho la hasira...
Hii ipo kwenye ukurasa wa ngapi wa hicho kitabu?
Nimejaribu kutafuta vaccine, 5G kwa hicho kitabu, sijaona kabisa.
Au hayo maandishi hayapo kwenye hicho kitabu?
Hii ipo kwenye ukurasa wa ngapi wa hicho kitabu?
Nimejaribu kutafuta vaccine, 5G kwa hicho kitabu, sijaona kabisa.
Au hayo maandishi hayapo kwenye hicho kitabu?
Pamoja na Purukushani zote hizi at the end we are all gonna die! Na ukitaka kupoteza muda wako na kujirudisha nyuma kimaendeleo basi anza kufuatilia hizi hadithi na NWO na mambo sijui ya 666