CHADEMA hamna akili mtapokeaje mra rushwa?? Tena Mbowe kapewa bil 10 kauza chama Kwa mafisadi?
Duu, umerembeka kwa sababu ya rushwa sasa unataka wengine wasipokee? Ungalia mwili wa kuchukia rushwa! Sasa unafikir CDM wanapewa helikopta bure kama CCM, lazima wapokee pesa zitasaidia mbele kwa mbele
Duh umenichekesha kweli kweli. Inawezekana kweli CDM ruzuku haipo. Ila huu ndiyo mwisho wa upinzani wenye nguvu Tanzania. Tusubiri tena after 10 year. Nadhani chama cha Zitto kinaweza kuja kuwa na nguvu ya kuikabili CCM. Maana sioni ni kitu gani CDM watajitetea. Kwa sababu kama Mzee Edo angekuwa kapitishwa CCM tungeona gazeti kama la Tanzania daima, CCM kwisha, wampitisha fisadi kugombea, tena ni fisadi papa, ila Kwa sasa sijui watawaeleweshaje watanzania??
CHADEMA hamna akili mtapokeaje mra rushwa?? Tena Mbowe kapewa bil 10 kauza chama Kwa mafisadi?
CHADEMA hamna akili mtapokeaje mra rushwa?? Tena Mbowe kapewa bil 10 kauza chama Kwa mafisadi?
Shoza
Mwache Mungu na usimtumie kwa mizaa kabisa. Kusema kuwa jambo fulani ni mpango wa Mungu ni wewe mwenyewe ulivyokuwa na imani na unavyojiamini. Nitakupa mfano mmoja na kama ukiuelewa tubu haraka kabla ya kupatwa na dhuruba ya ya unaye mkejeli!
Stefano alipopigwa mawe na kuuwawa na wayaudi huku kijana mdogo aitwaye Sauli aliyechonganisaha akiwa pembeni akifurahia , watu wengi walisema kuwa Mungu amefeli au hana nguvu tena au hayuko. lakini Mungu atabakia kuwa Mungu tu hata akidhihakiwa na akina Shozi atabaki kuwa Mungu, na mipango yake itabaki kuwa juu sana ukilinganisha na ya kwetu na akili zake ni kama mbingu na ardhi ukifanannisha naza kwetu. Yuko wapi saul leo na ni nani aliyeihubiri injiri kumpita yeye, si mitume wala watu waliofundishwa na Yesu. Ukisoma ujumbe huu tubu kwani ni (Rhema kwako)kwa ajiri yako.
Mungu anaweza kuinua mawe yamtumikie sembuse fisadi?
Naendelea kumshukuru MUNGU kwa kuniongoza mapema na kutokuwa sehemu ya AIBU.
Unamshukuru mungu kwa kukugeuza kuwa gamba.??Naendelea kumshukuru MUNGU kwa kuniongoza mapema na kutokuwa sehemu ya AIBU.
Unamkumbuka juliana slim alitokeaga uganda wakati wa vita na idi amin .Anakuhusu .Tubu sasa dhambi uokokee .njoo kwenye mpango wa MunguHapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!
We binti nawewe kumbe povu huwa linakutoka?Sasa umeongea nini?Mungu anauwezo wa kutimiza kusudi lake kwa njia yoyote.Akili zako zilipo komea ndipo anapo anzia yeye.Kama unasomaga biblia Essau alionyesha kudhulumiwa naYakobo lakini lilikuwa kusudi la Mungu lazima Yakobo Mbaraka na urithi.Wewe una zungumzia mambo ya Mungu wakati ni MbumbumbuHapo zamani kidogo kilikuwepo Chama cha siasa ambacho kiliwajenga waumini wake ama wafuasi kuwa Chama hicho ni cha ukombozi ambao MUNGU mwenyewe ndio msimamizi na kiongozi wa mpango huo wa kuanzishwa na kufanikiwa kwa Chama hiko cha siasa...wenyewe wakakiita "MPANGO WA MUNGU"
Kwa kawaida Mungu hajawahi kufeli, hajawahi kushindwa katika jambo lake lolote kwani yeye ni muweza wa kila jambo katika ulimwengu huu na mwingine ila kwa mara ya Kwanza katika historia ya Ulimwengu mpango wa Mungu umefeli tena umefeli kwa aibu kuu.
Kwa watu wenye akili sawasawa wametilia shaka ukweli na imani kuwa huo ulikuwa mpango wa Mungu, kwani MUNGU wanaomjua wao hajawahi kufeli katika mpango wake wowote, bali shetani huwa anafeli tena anafeli kwa aibu, Ni Shetani pekee ambae ameumbiwa kufeli katika kila mpango wake na ni wale wanaoongozwa na shetani tu ndio ambao wanajikuta wanafeli katika kila mpango wao.
Wakati CCM wakishereheka na kuimba "CCM MBELE KWA MBELE" kuna jamaa zetu wa zamani wanagawana mbao huku jahazi lao likiendelea kuzama kwa kasi ya ajabu.
Ndivyo ilivyo, Mshahara wa dhambi ni mauti na mwisho wa UBAYA ni AIBU.
Leo wanaonekana sura zao halisi, rangi zao za kweli ambazo walizificha kwenye ngozi ya kondoo..hawa ni mbwa mwitu wawindaji, wasaka tonge na wabinafsi.
Kila la heri kwa wale ndugu zangu wa MPANGO WA MUNGU!