Konny Joseph
Member
- Aug 28, 2016
- 81
- 133
Habarini za kazi wana JF!
Nimejaribu kufuatilia utaratibu wa Dunduliza katika NHIF lakini naona kama mifumo haisomani:
Labda wenye uelewa zaidi na hili naomba mtusaidie!!
Nimejaribu kufuatilia utaratibu wa Dunduliza katika NHIF lakini naona kama mifumo haisomani:
- Ukienda NHIF kwenyewe.wanakwambia utembelee tawi la NMB lililokaribu yako kwa jaili ya usajili.
- Ukiemda NMB wanakwambia wao hawafanyi usajili huo bali ujisajili mwenyewe kupitia USSD.
- Ukiingia kwenye hiyo USSD mfumo haukubali kabisa, nimeshajaribu kwa siku tofauti kwa zaidi ya miezi mitatu sasa.
Labda wenye uelewa zaidi na hili naomba mtusaidie!!