Kwamba Makao Makuu ya CCJ yatakuwa Butiama,mimi bado zijazisikia habari hizi. Navyofahamu mimi watu wa Butiama ni CCM damu damu,CCM dyed-in-the-wool. Katika Uchaguzi uliopita yule Chief aliwaunga mkon CHADEMA, akajikuta yuko peke yake.
In brief,iwapo CCJ wakitaka kuweka Makao Makuu yao Butiama,sidhani kama itakuwepo legal problems,sispokuwa tu complaints za wakazi wa pale.
Mimi sioni sababu yoyte ya kutoa maoni kuhusu CCJ. CCJ wanataka kuwa mysterious at this point in time. I have no objection to that. They can speak out when they are ready,kutueleza what is their policy on education,on Foreign Affairs,on Darfur,on the economy.