GE2025 Mpango mkakati maalumu siku ya Oktoba 29, 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

fexcash

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2017
Posts
547
Reaction score
1,014
Vijana wenzangu siku ya tarehe 29 October ni siku yetu ya kuikomboa Tanzania na kujenga Tanzania mpya. Sasa basi tusipelekeshwe na wanasiasa maana hawa ndio vigeugeu wakutuchomesha maana wengi ni double agents.

Najua wapo vijana wengi wasomi wenye uwezo wakutengeneza forum za siri ambazo tutaweka mipango yetu humo, siku hiyo mengi yawe surprise. Nawakilisha kwa vijana wote waliotayari.
 
Yaani kuongea tu hapa hakuna siri tena.
Siri ni yako peke yako mkiwa kuanzia wawili hakuna siri.
Najua hilo na ndio maana nikasema kuwe na forum za siri kama hamtoweza kufanya kwa kikundi basi tengeneza agenda zako mwenyewe na sifanyie kazi kama unajimudu la sivyo tutabaki tunajidanganya tu kwenye mitandao na hakuna kitu kitakachotokea.
 
 
Lazima tujue kuwa ni mashindano ya mtu asiye na silaha vs mwenye silaha kali na dola, kwaiyo lazima tumfanyie analysis kwanza kutafuta mapungufu yake. Na ipo wazi kabisa mapungufu yake ni akili, wanatumia nguvu kuliko akili.
Tukijipanga na kuweka matumizi makubwa ya akili tutatoboa.
 
Sahihi
 
Tengeneza network..uwe na watu sio chini ya wa 5 mnaoaminiana na kushibana na hao wawe na watu wao wa 5 and then the chain like that..

Huyu mama mwache ashupaze shingo mana katuona mafala sana
 
Your browser is not able to display this video.
 
Tengeneza network..uwe na watu sio chini ya wa 5 mnaoaminiana na kushibana na hao wawe na watu wao wa 5 and then the chain like that..

Huyu mama mwache ashupaze shingo mana katuona mafala sana

Sisi tuko 10 kata nzima lakini mipingo yetu nina uhakika tutawawakilisha vizuri sana
 
Sahihi
Wako Wachache Kuna sehemu hawataweza kufika Kwa haraka .Sehemu hizo ndizo tutakazo anza nazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…