Delegate
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 331
- 201
naombeni nisaidieni jinsi ya kumfukuza huyu mtu'mpangaji mwenzangu'yeye anajiona ni mwislam mtakatifu na imepelekea agombane na watu wanaoishi naye'jana chupuchupu kuzichapa na mimi baada ya mwenye nyumba kumshutumu anatumia umeme vibaya'basi mimi nikamwendea na kumwambia kwa nia ya kubana matumizi ya umeme'alinijia juu kinoma akidai hanijui wala hanitambui na kuanzia sasa sitakaa nikuheshimu tena'nilishangaa sana kwa sababu ilikuwa ni issue ndogo lakini ilifika mbali huku akionyesha dalili za kutaka kupigana na mimi'siku za nyuma keshapigana na wwatu wawili tofauti kwa sababu ya mambo ya kijinga'yeye ni fundi machanical keshafukuzwa garage kwa sababu ya ujuaji na maneno mengi'jamani nisaidieni nimwondoeje hapa maana wote tumepanga na jamaa hajui kuishi na watu'nifanyeje ili ahame huyu mwislam???