Vinci
JF-Expert Member
- Jul 6, 2009
- 2,638
- 668
issue yako ingepata mashiko kama usingeweka udini mkuu...hapo umeonyesha chuki ya kiimani,
Anyway wewe huna nguvu ya kumtoa mpangaji bali mwenye nyumba. kama mwenye nyumba hajamwambia aondoke, mpangaji mwenzake hana mamlaka hayo. issue ipitie kwa mwenye nyumba anao ubavu huo.
Anyway wewe huna nguvu ya kumtoa mpangaji bali mwenye nyumba. kama mwenye nyumba hajamwambia aondoke, mpangaji mwenzake hana mamlaka hayo. issue ipitie kwa mwenye nyumba anao ubavu huo.