Mpanda: Laurence Masha anashikiliwa na Jeshi la Polisi

Mpanda: Laurence Masha anashikiliwa na Jeshi la Polisi

figganigga

Platinum Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
26,715
Reaction score
59,250
Waziri wa zamani wa mambo ya ndani, Laurence Masha, anashikiliwa na Jeshi la Polisi
Mkoa wa Katavi.

Masha anashikiliwa kwa kosa la kufanya mikutano kwenye kambi ya Wakimbizi.

Akiwa Waziri Mambo ya Ndani, aliwapa uraia, Walikuwa 165,000. Alikwenda kuwatoa hofu iliyojengwa wasipopiga kura kwa CCM watarudishwa Burundi.
 
Mabadiliko Lowassa
Lowassa Mabadiliko
Ccm Imechoka Tuitoe By Magufuli.
 
Umeona kwa nini wamkamate au huko hakuna wapiga kura ? Vipi Jaji Lubuva na NEC waliwanyika haki ya kujiandikisha?
 
Back
Top Bottom